Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,292
- 781
Wakuu, mm ni mteja wa TTCLBB, Siku za hivi karibuni kumekuwa na tatizo kubwa la Network yao kuwa SLOW sana hasa nyakati za mchana, Kila napopiga simu kwao hakuna solution ya kudumu zaidi ya ku-unbind na kuniambia nirestart moderm (kama wanavosema wao); Napouliza ni lini watapata solution ya kudumu sipati majibu ya kuridhisha (wanasema kuna pressure kubwa). Kutokana na mahitaji yangu ya net kuwa mazito kidogo siwezi kuhamia mtandao mwingine ambao unaweza kunipa Gb200 Kwa bei Nzuri, nitashindwa. Tafadhali kwa wenzangu wanaotumia huduma ya hawa jamaa naomba tupeane mawazo namna gani naweza kujikwamua kutoka kwenye hili janga. Na kama kuna mfanyakazi wa TTCL ambaye anaweza "kunisaidia" kuingilia mlango wa nyuma tafadhali ani-pm. Pia nakaribisha mawazo kutoka kwa wadau juu ya altenative zilizopo (nipo Mkoani). Mods wa JF pia kama mnatumia provider ama package ambayo ni nzuri zaidi tujuzane jamani na mm nihamie huko!