PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 879
- 956
Katika kutii agizo la Serikali lilitolewa April 2 la kusitisha gharama mpya za vifurushi, TTCL Corporation April 3 ilianza na kukamilisha mchakato wa kurejesha gharama za zamani za vifurushi"Kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Tunapenda kuufahamisha umma wa watanzania kuwa shirika linaendelea kuwajali watanzania na wateja kwa ujumla kwa kuwapa huduma bora za mawasiliano"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Kuendelea kwa vifurushi vya zamani kulitoa fursa kwa wateja wa TTCL na wananchi kuendelea na kutumia huduma za mawasiliano"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Tunapenda kuwataarifu RASMI watanzania kuwa vifurushi vyetu vya zamani vimerejea kama kawaida,hivyo tunawaalika watanzania waendele kufurahia Huduma zetu"Kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Tunawakaribisha Watanzania ambao hawajarudi nyumbani, basi watembelee mawakala wetu ambao wamesambaa maeneo mbalimbali nchini au kutembelea vituo vyetu vya Huduma kwa wateja ili waweze kusajiri laini zetu"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Tunawahakikishia Watanzania tutaendelea kutoa Huduma za mawasiliano kwa weledi na ubunifu ili kukidhi mahitaji ya wateja wetu na Watanzania kwa ujumla"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laib.
Tunapenda kuufahamisha umma wa watanzania kuwa shirika linaendelea kuwajali watanzania na wateja kwa ujumla kwa kuwapa huduma bora za mawasiliano"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Kuendelea kwa vifurushi vya zamani kulitoa fursa kwa wateja wa TTCL na wananchi kuendelea na kutumia huduma za mawasiliano"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Tunapenda kuwataarifu RASMI watanzania kuwa vifurushi vyetu vya zamani vimerejea kama kawaida,hivyo tunawaalika watanzania waendele kufurahia Huduma zetu"Kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Tunawakaribisha Watanzania ambao hawajarudi nyumbani, basi watembelee mawakala wetu ambao wamesambaa maeneo mbalimbali nchini au kutembelea vituo vyetu vya Huduma kwa wateja ili waweze kusajiri laini zetu"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu
Tunawahakikishia Watanzania tutaendelea kutoa Huduma za mawasiliano kwa weledi na ubunifu ili kukidhi mahitaji ya wateja wetu na Watanzania kwa ujumla"kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laib.