Wasimamiz udart inabd wajitafakar mgogoro wao na maxmalipo ndo shidaa na pia kulazimisha wafanyakaz wa maxcom kusain mikataba mipya bila kulipw na maxmalipo ni uonez wa waz waz serikal inabd iingilie kat
Basing on your heading mimi naona TTCL imewaruka MaxCom
Mnamo tarehe 13 Aprili 2018 UDA-RT walitangaza kuiondoa kampuni ya Maxcom Africa kwenye mradi na kuipa kazi kampuni ya TTCL corporation bila kufuata taratibu zozote za kimkataba, bila kutoa notisi na bila kurasimishana makabidhiano ya mradi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.