KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,592
- 3,839
Habari wakuu...
Kama tulivyokubaliana ni mwendo wa kusajili laini za TTCl tuamshe hii kampuni yetu ..imelala sana na meneja wa masoko kwenye hii kampuni cjui wanakwama wapi kumtumbua??
Enenwei ni ndoto yangu siku moja kuona Mtandao huu unatumika na % kubwa ya watu ili awa wengine wakome kutufanya sisi mazwazwa kila cku kutupandishia vifurushi..Nyuzi nyingi zimeelezea
Naomba kujuzwa tu menu ya TTCL mm nimeshasajili wewe je unasubiri nini?
Uzi tayari
Kama tulivyokubaliana ni mwendo wa kusajili laini za TTCl tuamshe hii kampuni yetu ..imelala sana na meneja wa masoko kwenye hii kampuni cjui wanakwama wapi kumtumbua??
Enenwei ni ndoto yangu siku moja kuona Mtandao huu unatumika na % kubwa ya watu ili awa wengine wakome kutufanya sisi mazwazwa kila cku kutupandishia vifurushi..Nyuzi nyingi zimeelezea
Naomba kujuzwa tu menu ya TTCL mm nimeshasajili wewe je unasubiri nini?
Uzi tayari