BANDIKA BANDUA HIYO UNAIPATAJE?Wanajitahidi kidogo na vifurushi vyao, sana sana hichi cha bandika bandua nakienjoy sana kwa matumizi yangu YouTube, Netflix, kuperuzi sipati tabu. Japo spidi yao sio level ya Vodacom (Inayoganga hadi 60 Mbps) lakini hata kama spidi ya voda ipo fast haina maana kwa kuwa vifurushi vyao vinakatisha tamaa View attachment 1106490View attachment 1106491
Duh.. Mkuu kwa kifurushi kipi? Maana hawa majamaaVoda naitumia kwenye gaming, hio ping ni balaa.
Dar super uni, 500mb kwa 500 ama 1gb kwa 1000Duh.. Mkuu kwa kifurushi kipi? Maana hawa majamaa
Sijui kama hichi kitu kitakusaidia au Lah! Lakini nakumbuka mwanzoni nilikuwa natumia TTCL kwenye simu yangu inayo support Band B3 (1 800mhz) tu na nilikuwa napata spidi mbovu sana hapa home, lakini baadae nikanunua modem inayo support band B40 (2300mhz) ambayo pia TTCL wanatumia na spidi yangu ime improve mara dufuView attachment 1106497
HII NDIO SPEED YA INTERNET YA TTCL HUKU DAR-ES-SALAAM/GOBA
NDUGU YANGU WA MBEZI BEACH ACHA KABISA PAMBANA NA VODA TU...TTCL ITAKUSABABISHA UVUNJE MODERM AU UPASUE SIMU.
Ttcl wana 2300mhz? Wamenunua mitambo ya smart ama?Sijui kama hichi kitu kitakusaidia au Lah! Lakini nakumbuka mwanzoni nilikuwa natumia TTCL kwenye simu yangu inayo support Band B3 (1 800mhz) tu na nilikuwa napata spidi mbovu sana hapa home, lakini baadae nikanunua modem inayo support band B40 (2300mhz) ambayo pia TTCL wanatumia na spidi yangu ime improve mara dufu
Kipo kwenye menu yao ile ya *148*30#, bundle za internetBANDIKA BANDUA HIYO UNAIPATAJE?
issue inakuja hapo sasa kujua moderm inayo support hizo bands...mfano kama hii moderm yangu sijui hata kitu yani naitumia tu hata sielewi...Sijui kama hichi kitu kitakusaidia au Lah! Lakini nakumbuka mwanzoni nilikuwa natumia TTCL kwenye simu yangu inayo support Band B3 (1 800mhz) tu na nilikuwa napata spidi mbovu sana hapa home, lakini baadae nikanunua modem inayo support band B40 (2300mhz) ambayo pia TTCL wanatumia na spidi yangu ime improve mara dufu
smart wako vizuri sana kwa net au hii comparison ni ya utani utani tuu???Ttcl wana 2300mhz? Wamenunua mitambo ya smart ama?
Hapana wao pekee ndio walikuwa wanatumia 2300mhz ndio maana nimehisi hivyo.smart wako vizuri sana kwa net au hii comparison ni ya utani utani tuu???
Menu yake ni ipi?TTCL mambo yamenoga kweli kweli kwenye internet.
Wana kifurushi chao cha buku nakipenda mno, Asubuhi mpaka saa 2 usiku unapewa mb 500 na ikifika saa 2 usiku unaachiwa GB 3 na nusu nazitumiaga kwa kuzikomoa ila sizimalizagi , Spidi ni kali mno huwa na-enjoy ikifika hio saa 2 usiku naweza kudownload muvi ndani ya dakika chache tu, ku stream youtube HD bila kuganda na pia kukiwa na mechi naicheki bila matatizo.
Changamoto ni kwamba hii 4g ya ttcl ina maeneo yake, sehemu nyingi (ikiwemo ndani ya nyumba) inabidi uwe kaeneo flani ili upate spidi kali, mara ya kwanza nilikuwa na modem ya kupachika kwenye laptop ilikuwa inabidi niwe kasehemu flani ili nipate spidi kali kwa hio nilinunua waya mrefu ambao napachika modem na kisha modem naiweka juu kabisa maeneo ya dirishani ili niwe na speed. Nikajichanga nikanunua wireless router ambayo nimeitegesha maeneo yale yale ya dirishani ili nipate spidi.
*148*30#
Unaingia 5, then unaingia 4
WALE MNAO TUMIA TTCL NJOONI MNIJUZE SPEED YA INTERNET YA 4G YAO IPOJEE MAANA NISIJE NIKARUDI KUMBE NARUDI ENZI ZA UKOLONII....
NIKO DAR ES SALAAM MARNEO YA MBEZI BEACH....View attachment 818046
HalotelInternet ya usiku ipo slow sana siku hizi...naomba ushauri mtandao gn wana internet ya usiku nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app