kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,890
Aman itamalaki kwenu wote
Baada ya kuteswa kwa miaka kazaa na washenzi kazaa yaan mitandao mishenzi shenzi sasa hatimaye nimepata mchumba mpya ambaye tiar nishafunga naye ndoa
TTCL nyie ni wanyama hatari sana
Kwanza internet mtandao umetulia kishenzi sijawahi ona hawa jamaa cm haikwami kabisa hata kidogo yaan ni kuchumpa tu
Tunakuja kwenye gharama za vifulushi bei ni kama bure aisee
Toka nimesajili saiv natumia kakifurushi kamoja hivi unaweka jero unapewa mb kama mia saba kwa week nzima hiyo ni offer ndogo sana kwao kuna offer kama milion hivi na za bei chee
Nyie ni wanyama endeleen na unyama wenu
Safi sana
Ttcl ndo mtandao bora kabisa kaskazini nzima unakamata tz nzima ni nani anayehujumu ttcl?
Kiukweli sikutarajia kabisa nilichukua line yao kiutani arusha mjini nimezunguka mikoa ya kaskazini yote tena vijijini kitu ipo h+ na 4g muda wote ina speed balaa Ttcl niaisee mpaka hedaru ipo bomba sana kama kaskazini nzima ipo...
www.jamiiforums.com