Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,920
- 122,183
Subiri kwanza nitest mitambo, ikikaa sawa ndio nakuambia ujitoseKwaiyo unanishaurije mbabu?
Subiri kwanza nitest mitambo, ikikaa sawa ndio nakuambia ujitoseKwaiyo unanishaurije mbabu?
Gb3 kwa buku mbili????Balaaa nadunda na gb 3 zangu za wiki buku 2 tu... Uku wale matajiri wa voda una zipata kwa elfu 20
Poa kibabuSubiri kwanza nitest mitambo, ikikaa sawa ndio nakuambia ujitose
Mkuu, mitaa gani ina speed hiyo? Ni modem au simu? Angalau nije ku-download series ninzotakaKabla sijaanza kutumia Zantel, kwangu best ilikuwa Halotel, inafuatia TTCL. Hata hivyo, nikawa natumia zaidi TTCL kwa sababu bundles zao ni cheap! Nilipoanza kutumia Zantel, kwangu Zantel nimegundua ndiyo best ikifuatiwa na Halotel, kisha TTCL. However, kama ulivyosema, sometimes inategemeana na maeneo but Zantel kwa hapa nilipo (Dar) ni nyoko! Ukiona nime-sacrifice Sh. 2000, basi jua si bure! Just imagine, leo naandaa chai nimeacha inaanza ku-dowload 3.3GB za Money Hesit, ile namaliza, nakuta 3.3 GB nazo zote zimefutwa kama masihara vile!!
Sawa mbibi wangu I love you crazy..Poa kibabu
Hata sipajui, nipe coordinates zote nitakuambia kama TTCL nzuri au vipi!!!Mlima kwaraaaa...haya nijibu
Saint Ivuga
Oooh mi nilipo 4g yake ipo sehemu kubwa so naenjoy tuMimi pia natumia zantel tatizo 4g yake haipo sehem kubwa kwahiyo naweka 3G ila wapo vzr sn
Ngoja mdogo ako aje ndo anapajua vzr akuelekezeHata sipajui, nipe coordinates zote nitakuambia kama TTCL nzuri au vipi!!!
Uko sahihi ila hujamalizia sentensi... Is the best takatakaSitaki kuingilia argument mliyonayo, lakini nimekuwa mtumiaji wa TTCL kwa mda sasa. Japo inategemea na eneo(kama ilivyo mitandao mingine) kwa experience niliyonayo ya utumiaji wa net hapa bongo, TTCL is the best.
Mmh, comrade!!Uko sahihi ila hujamalizia sentensi... Is the best takataka
TTCL moja ya mitandao ya HOVYO sana kwa upande wangu kwa sasa....Natamani mwenye moderm ya 4G voda anipe nimpe 4G WIRELESS ya TTCL.
VODACOM ✅ verified.
u hovyo wake upo kwenye nini? speed au bei?Ukitoa mitandao yote Voda ndio hovyo kabisa.
u hovyo wake upo kwenye nini? speed au bei?
Upi mtandao bora kwako ambao umezidi ubora Voda?
KUMBE U HOVYO WAKE UNAANGALIA WINGI WA mb NA SIO speed? Upo sahihi VODA sio bora kwako.Mb,,,
Halotel
Tigo
Aitel
Mi napatikana Usalama, Chang'ombe na sehemu ninayoishi ina sifa moja ya msingi! Voda na uzuri wake wote, hapa ninapoishi speed yao mbovu! Tigo na Airtel ndo wala usiguse! Wadau wanadai ni kwa sababu tumezungukwa na maminara!Mkuu, mitaa gani ina speed hiyo? Ni modem au simu? Angalau nije ku-download series ninzotaka
Mimi huwa natumia bundle ya 10GB kwa wiki, kwa Sh. 12,000. Lakini pia wana vifurushi vya 2.5GB/Sh.8000/week, 1.2GB/Sh 5000/week, 700MB/Sh.3000/week. Vifurushi vyao vya mwezi, ni kama TTCL tu, havi-make sense! Kwa mfano, kuna kimoja 14GB/Sh 35000/mwezi. Hii inaweza kumsaidia mtu ambae hatumii sana intanetBundles za Zantel zikoje? Naomba mchanganuo mkuu.
Gb3 kwa buku mbili????