Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,562
- 188,754
Habari.
Wakati mitandao mingine ya simu inaleta mbwembwe na kujaribu jaribu kupanga vifurushi kulingana na tamko la TCRA.
Sasa ndio wakati wenu wa 'kusepa na kijiji' nikiwa na maana ya kuweza kupata wateja wenu wengi na yatabaki majuto kwa kampuni zingine.
TTCL ni kampuni kubwa sana likiamua kufanya kazi na sasa ndio wakati umefika msiache hii fursa kujenga tena na kuwa mtandao namba moja Tanzania.
Tumieni vizuri maneno yenu haya RUDI NYUMBANI KUMENOGA.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Wakati mitandao mingine ya simu inaleta mbwembwe na kujaribu jaribu kupanga vifurushi kulingana na tamko la TCRA.
Sasa ndio wakati wenu wa 'kusepa na kijiji' nikiwa na maana ya kuweza kupata wateja wenu wengi na yatabaki majuto kwa kampuni zingine.
TTCL ni kampuni kubwa sana likiamua kufanya kazi na sasa ndio wakati umefika msiache hii fursa kujenga tena na kuwa mtandao namba moja Tanzania.
Tumieni vizuri maneno yenu haya RUDI NYUMBANI KUMENOGA.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu