Frank King
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,310
- 885
wakuu wote wa chama na serikali kwanza poleni na majukumu,staki kuwachosha kwa maneno mengi,ebu jaribuni kuangalia nguzo za TANESCO na TTCL utaona kakibao kameandikwa''MGANGA WA JADI TOKA.......tunatibu ukimwi,zindiko,utajiri,hela za majini,kumvuta mpenzi nguvu za kiume nk.kama serikali hamuamini uchawi kwanini vibao hivi havikemewi?mlishawahi kujiuliza kwanini mauaji yakishirikina yanaongezeka kila kukicha?watoto wetu wanajifunza nini kwenye hayo mabango?na kama yanakubalika kwanini yasikae mkao wa mabango halali?au TTCL TANESCO WANA MKATABA NA WAGANGA WA JADI?staki kuamini ndio maana umeme unakatika katika hovyo!!...nawasilisha.