TTCL Modem:- NIkaamua Kurudi Nyumbani Baada ya Kushawishiwa Kwamba Kumenoga Lakini Nimepotea Njiaani Wamepanga Miiba:- Nielekezeni Njia Ya Kufika Home

myplusbee

JF-Expert Member
Jul 8, 2016
3,612
6,153
Wadau na wasio wadau, nimenunua hii modem hapa chini:-

TTCL.png

Ajabu ni kwamba, sipati option na yenyewe wala haifanyi jitihada zozote za ku-install software!! Baada ya kupita hapa na pale, nikakuta kitu kinachosema ni-type http://192.168.0.1 kwenye browser! Nika-type lakini hapo napo naambiwa ni-sign in bila kuwapo na option ya ku-sing up/ku-register!!!

Sasa na-sign in vipi bila kuwa registered?!

Lakini kubwa kuliko yote, ni vile naweza ku-install software ya hii modem!! Wadau, naombeni mnisaidie kutoa miba njiani ili nifike huko home nikawasalimie bibi na babu baada kuwatoroka bila taarifa mwaka 2009!!!
 
Ulivyo nunua hiyo modem hauku kuta karatasi yenye maelekezo? Usually kwenye modem nyingi username na password inakuwa neno 'admin'. Sasa sijui kwa hiyo yako, ungesoma instructions kabla ya kuchomeka ingekuwa vizuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulivyo nunua hiyo modem hauku kuta karatasi yenye maelekezo? Usually kwenye modem nyingi username na password inakuwa neno 'admin'. Sasa sijui kwa hiyo yako, ungesoma instructions kabla ya kuchomeka ingekuwa vizuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Point made. Nilitaka kusema hivyo hivyo ila angetakiwa asome maelekezo kwanza kabla ya kutumia. Hiyo ip adress inatumika kuconfigure setting za wireless router iliyo ndani ya modem. Na pia hizi modem za 4g huwa na tabia ya ku auto connect moja kwa moja
 
Katika sign in karibu kuweka user both password and username

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nilikuwa sijakuelewa!
Ulivyo nunua hiyo modem hauku kuta karatasi yenye maelekezo? Usually kwenye modem nyingi username na password inakuwa neno 'admin'. Sasa sijui kwa hiyo yako, ungesoma instructions kabla ya kuchomeka ingekuwa vizuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Point made. Nilitaka kusema hivyo hivyo ila angetakiwa asome maelekezo kwanza kabla ya kutumia. Hiyo ip adress inatumika kuconfigure setting za wireless router iliyo ndani ya modem. Na pia hizi modem za 4g huwa na tabia ya ku auto connect moja kwa moja
Nilisoma maelezo yote, labda wamejichanganya manake walichosema "The Default Password is admin" na nilipojaribu iilinigomea!!! So inawezekana ikawa ndio default password na default user name hiyo hiyois admin!! Wacha nijaribu!!

Kuhusu auto connect kama ulivyosema Extra miles, inafanya hivyo lakini kukosekana kwa interface/dashboard nalazimika kutoa laini kwenye modem na kutumia simu kwa ajili ku-recharge na kununua bundle!
 
Ulikua na haraka kwanza unga kifurushi kwenyw hii modem, tumia simu ya pembeni halafu ndo uingize hio 192.168 na kufata maelekezi
 
Ulikua na haraka kwanza unga kifurushi kwenyw hii modem, tumia simu ya pembeni halafu ndo uingize hio 192.168 na kufata maelekezi
Hiyo haraka ya kuanza kutumia modem bila kifurushi au haat salio itakuwa sio haraka tena!
 
Back
Top Bottom