Ni bora tu kutumia Banki kwa kweli, baada ya hii miamala ya simu kuja watu hawakuona umuhimu kabisa wa kufungua akaunti za benki.
Hayo ndiyo matokeo yake...tozo kubwa kuliko maelezo
Turudini benki jamani.
Mbona sijaona unafuu hapo kaka..mfano 300000 nilikuwa natoa kwa wakala ful kwa 4500...hapo ttcl kutoa jumla ni 8500 kama voda tu ...mana kuna fees ya kutoa kwa wakala plus kodi ya serikal inafika 8500 imeongezeka 4000 nzima kama wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.