Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Kama mshahara na posho zipo vizuri wizi na rushwa haviwezi kuwa tatizoMhh😂😂😂
Mtakubali kweli na nyie muishi kinyonge
Ova
Kama mshahara na posho zipo vizuri wizi na rushwa haviwezi kuwa tatizoMhh😂😂😂
Mtakubali kweli na nyie muishi kinyonge
Ova
Kitu usichokijua ni kwamba, wewe kwa akili yako unafikiri kampuni ikishakuwa na minara tu basi kazi imeisha.
Unakosea sana na unafaa kuelimishwa zaidi. The system that all telecom service providers uses to transmit their signal 🚦 is owned by Ttcl, just to educate you.
MmhKama mshahara na posho zipo vizuri wizi na rushwa haviwezi kuwa tatizo
Hahahhahahahah amna bana shida inayokera bongo mishahara midogo halafu ofisi hio hio kuna mmoja anatembelea vx v8 ya 2022Mmh
Sawa jomba,ila vijana mna gazabu mkiamua
Kupiga mnapiga kwerkwer
Ova
Ndiyo wakose hata vocha kwa maelezo kuwa HQ hawajawatumia!! Ila mpangaji wake ana vocha zote kasoro za TTCL
Hahahhahahahah amna bana shida inayokera bongo mishahara midogo halafu ofisi hio hio kuna mmoja anatembelea vx v8 ya 2022
Hahahhahahahah amna bana shida inayokera bongo mishahara midogo halafu ofisi hio hio kuna mmoja anatembelea vx v8 ya 2022
Ndio ukweli- viongozi wengi ni tatizo katika mashirika
Umeona kazi hiyo "shida kwenye ofisi hiyo hiyo kna mmja anatembelea vx"😂😂Hahahhahahahah amna bana shida inayokera bongo mishahara midogo halafu ofisi hio hio kuna mmoja anatembelea vx v8 ya 2022
Unashindwa kuelewa inakuaje mtu mwenye mshahara ambao haufiki million 100 kwa mwaka anatembeleaje Vx V8? Kinachofuata lazma kiumane wafanyakaxi wote wanaamua kuwa weziUmeona kazi hiyo "shida kwenye ofisi hiyo hiyo kna mmja anatembelea vx"😂😂
Ova
Kweli kabisaUnashindwa kuelewa inakuaje mtu mwenye mshahara ambao haufiki million 100 kwa mwaka anatembeleaje Vx V8? Kinachofuata lazma kiumane wafanyakaxi wote wanaamua kuwa wezi
Umeeleza vizuri.Deni la TTCL ni kutokana na mtaji unaolifanya shirika liwe la kisasa. Hao wabunge walikua wapi kulilia Celtel wamalize deni lao la dola milioni 55?
net debt ya TTCL ni ~bilion 130, huu ujanja ujanja ni kutaka kuligawa shirika kwa kampuni binafsi. Acheni watu wafanye kazi jamani. Tunajua wabunge wanahisa kwenye kampuni za simu hasa Vodacom Tanzania, na uwepo wa TTCL ni mwiba kwa Vodacom hasa kwenye tenda za mawasiliano za serikali. TTCL inapata tenda zote za serikali zinazohusu mawasiliano.
Hujuma kwa TTCL ni kwasababu ya ulafi wa wanasiasa.
Mwaka 2015, ripoti ya habari leo yenye kichwa cha habari TTCL yafilisika
ilionesha wazi jinsi shirika hili linavyohujumiwa na kampuni binafsi za mawasiliano.
You're still preoccupied with party politics, i'm above that.ungekua hata kidogo unajua unachoongea ngekupa darasa kidogo ila ni vizuri ubaki na ujinga wako ivo ivo, huenda ndo sheria ya chama chenu
itoshe kusema , baki na ujinga wakoYou're still preoccupied with party politics, i'm above that.