chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Hii kampuni imejaa wazee wanaosubiri kuzikwa ofisini humo ndio furahaa yao.
Kampuni imekuwa pitio la makampuni mengine kujiendeleza na kutobolea kupitia TTCL.
Kampuni ilitakiwa kuwekwa kwenye kumbukumbuku za UNESCO maana ina mambo ya kizamani na ajabu.
Kampuni isiyotaka mabadiliko wala kujali ili mradi tu bora liende.
Mpaka sasa hivi imeshindwa kujikita na huduma bora zaidi majumbani na simu za mikononi.
Mnatuboa penye ukweli usemwe TTCL Customer Care
Kampuni imekuwa pitio la makampuni mengine kujiendeleza na kutobolea kupitia TTCL.
Kampuni ilitakiwa kuwekwa kwenye kumbukumbuku za UNESCO maana ina mambo ya kizamani na ajabu.
Kampuni isiyotaka mabadiliko wala kujali ili mradi tu bora liende.
Mpaka sasa hivi imeshindwa kujikita na huduma bora zaidi majumbani na simu za mikononi.
Mnatuboa penye ukweli usemwe TTCL Customer Care