Muokota Makopo
Member
- Jan 9, 2020
- 54
- 95
1. Kuboresha na kusambaza minara kwa wingi.
Jitoeni kwenye ROAMING ya Tigo, jengeni minara yenu.
2. Kufungua matawi au ofisi zao.
Vuta picha pale Kibaha, ofisi ipo sehemu moja tu. Je huko vijijini itakuwaje?
3.Ondoa wazee, wekeni vijana.
Wazee wameshachoka wapo zama za Ujima(Communalism) wakati vijana tupo dunia ya 3.
4.Fumua menejementi yote.
Wekeni watu wenye uchungu na hiyo kampuni.
Nyingine mtaongezea
Jitoeni kwenye ROAMING ya Tigo, jengeni minara yenu.
2. Kufungua matawi au ofisi zao.
Vuta picha pale Kibaha, ofisi ipo sehemu moja tu. Je huko vijijini itakuwaje?
3.Ondoa wazee, wekeni vijana.
Wazee wameshachoka wapo zama za Ujima(Communalism) wakati vijana tupo dunia ya 3.
4.Fumua menejementi yote.
Wekeni watu wenye uchungu na hiyo kampuni.
Nyingine mtaongezea