TTCL Fanyeni haya ili muwe Kampuni yenye ushindani wa kibiashara

Hiyo kampuni haijielewi.Huduma walizonazo wameshindwa kuziboresha na wamekosa kabisa ubunifu.Kuna wakati unapiga simu kwa hiyo line unasikia makelele yasiyoeleweka utadhani uko kwenye simu kuna mtu anakanyaga mabati bana.
 
kwa mwendo huu
Screenshot_20200804-142049.jpg
 
Hiyo kampuni haijielewi.Huduma walizonazo wameshindwa kuziboresha na wamekosa kabisa ubunifu.Kuna wakati unapiga simu kwa hiyo line unasikia makelele yasiyoeleweka utadhani uko kwenye simu kuna mtu anakanyaga mabati bana.
wee jamaa acha zako.
 
Waboreshe na hili la MB ilikununua kifurushi kingumine salio libaki Mb 50, ndipo unaweza kuongeza mb zingine. Wafanye kama Halotel unaweza kuongeza MB hata kama salio la mb ni 3Gb utaongeza tu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom