TTCL yani wajinga sana mm ninapiga customer care hawapokei! wakipokea wanakwambia subiri....na pia TTCL Broadband Internet haifanyi kazi leo siku ya TATU!!! ninapiga simu wananiekea mziki! nasubii dakika tano bado nina piga tena subiri wanapokezana simu then hakuna kinachowanfika wananipeleka huku mara kule kwenye simu..WTF?? si unijibu tu kwamba Internet haiwanyi kazi nitaelewa sio unanizungushaaa