Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,663
- 20,418
- Thread starter
- #41
AIsee andiko jepesi saana kaka umeandika...nikuulize maswali madogo tu umejuaje kama Kasaini bila kuwepo Manager wake leo?
Mohammed Husein Hana uwezo wa kusain karatasi lolote la mkataba bila ya uwepo wa meneja wake. Izo stori zako ni za vijiwe vya kahawa.
Mnaokataa kuwa Tshabalala amesaini bila ya kumshirikisha meneja wake, sikieni hii hapa halafu mrudi kufuta post zenu