Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Hizi fedha zinajenga barababara ukubwa gani? Kwanini fedha hizi kwa idadi ya majimbo tuliyonayo zingekabidhiwa TARURA ZIKAJENGA barabara kwa kuzingatia kipaumbele Cha Tarura kuliko kutawanya fedha kwenye kukwangua barabara ambayo mvua ikinyesha mara moja zinarudia Hali ileile.
Hizi fedha naamini ni walipa kodi na zinapotumika bila kuangalia value for money na quality ya kile tunachokifanya tukaalia siasa tutajikuta tunatumia trillions ambazo hazitakuwa na impact. Bora kujenga barabara za majimbo mawili zakudumu kuliko kuchonga barabara ambazo zinaharibika kila mvua ikinyesha.
Hizi fedha naamini ni walipa kodi na zinapotumika bila kuangalia value for money na quality ya kile tunachokifanya tukaalia siasa tutajikuta tunatumia trillions ambazo hazitakuwa na impact. Bora kujenga barabara za majimbo mawili zakudumu kuliko kuchonga barabara ambazo zinaharibika kila mvua ikinyesha.