Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,061
Basi na Polisi nae tumpe 3.5 , Afisa masijala aanze 3.5M , kwa ujumla TGS D wote waanze na 3.5 ikimaanisha huko juu iwe adjusted accordingly wengine walipwe 5M wengine 15 M based on experience . Halafu zile pesa tulizotumia kwenye vita ya Kagera ambazo madeni yake hadi kesho hayalipiki riba zinaongezeka utakuja kulipa wewe?
Tulieni Kikwete atengeneze nchi, Nyerere alikuwa busy na ukombozi wa Africa tukatumia pesa nyingi hata barabara hakutengeneza zilianza kutengenezwa awamu ya pili na mambo mengine ya maendeleo. Sasa angalia hao ambao tumewakomboa hata Mozambique na Namibia wanatushinda. Madaktari mwacheni rais aweke mambo sawa madeni aliyoacha baba wa Taifa ni mengi ndio tunalipa kidogo kidogo na itachukua muda sana hii mgomo ilitakiwa mlete kipindi kile cha kujifunga mikanda.
Tulieni Kikwete atengeneze nchi, Nyerere alikuwa busy na ukombozi wa Africa tukatumia pesa nyingi hata barabara hakutengeneza zilianza kutengenezwa awamu ya pili na mambo mengine ya maendeleo. Sasa angalia hao ambao tumewakomboa hata Mozambique na Namibia wanatushinda. Madaktari mwacheni rais aweke mambo sawa madeni aliyoacha baba wa Taifa ni mengi ndio tunalipa kidogo kidogo na itachukua muda sana hii mgomo ilitakiwa mlete kipindi kile cha kujifunga mikanda.