Tsere balozi mpya Malawi (Mpinzani wa Dr.Slaa)

Josh Michael

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,523
77
na Marietha Mkoka, DSJ

RAIS Jakaya Kikwete amemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, Patrick Tsere kuwa balozi mpya nchini Malawi.

Taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa vyombo habari, ilisema Tsere anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Makame Rashid ambaye amestaafu kwa mujibu wa utumishu wa umma. Hata hivyo, taarifa hiyo ilisema Tsere ameshika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Wilaya ya Ilala tangu mwaka 2006 hadi 2009.


NB: Atakwenda tena Karatu kugombea Ubunge kama ilivyokuwa mwaka 2005??
 
Whaaaaaat? Sasa JK hayuko serious...wadau hebu mwenye CV ya huyu mkuu atupe.Ambassador?
 
Aliwahi kuwa mkuu wa kule Arusha International conference center (AICC) kabla ya kuchaguliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Ilala,
 
Whaaaaaat? Sasa JK hayuko serious...wadau hebu mwenye CV ya huyu mkuu atupe.Ambassador?

Tafadhali usimuonee muungwana; he has never been serious in his life, he is always smiling!! Alinikuna juzi alipotembelea waliokumbwa na mafuriko Kilosa alipowaagiza watu wake wawajengee nyumba upesi kwani watu wazima wanachoka kuwafukaza ndani watoto waende kucheza ili wapate faragha!!! Is n't this hilarious from your commander in Chief!
 
huyu jamaa ni failure mtupu, ilala wananchi walimkataa huyu, km sikosei ilikuwa sakata fulani la ardhi
 
huyu jamaa ni failure mtupu, ilala wananchi walimkataa huyu, km sikosei ilikuwa sakata fulani la ardhi

I beg to differ hapa mkuu, Tsere ana qualities zake iwapo atapata nafasi kwenye sehemu inayomfaa, nahisi kwamba ataweza diplomacy hasa kwa nchi kama malawi ambayo kwa kweli hatuna serious issues hapo. he did relatively well kule AICC.

Hii ya ukuu wa wilaya ndugu yangu si rahisi kupima mtu kwani ni siasa na uzandiki mtupu uko kwenye hizo position, manifesto zao za kazi na mazingira yao hayawezi kumsaidia any intelligent person ku-achieve goals zake, sanasana uwe mwanasiasa upige kelele siku ziende and Tsere is not that type of political blahblah

nawasilisha
 
Kumbe hiyo CV yake hata wewe huna, sasa kinachokupayusha 'whaaaaaat' ni kitu gani?


Mimi ninavyomjua huyu mkuu alikua mkuu wa wilaya,sasa kweli ni ishu gani iliyomsukuma jk aone anaweza kuwa ambassador uko malawi?Hebu tunaomba CV yake kitaaluma coz ukuu wa wilaya tu ndo umemfanya awe qualified kuwa balozi?Huoni tatizo hapo?

Kwa anayesema malawi hatuna serious issue nayo9 simwelewi pia,unajua nchi kama malawi iko ktk strategic location?

Tuna watanzania wanafanya biashara malawi,and there are still some more opportunities kwa watanzania kuwekeza kule

Pia Tunahitaji wateja kwa ajili ya bandari zetu ingwa ziko hoi,pia cooperation in defence nk....usiseme hatuna ishu serious na malawi,basi ubalozi wetu huko ufungwe?
 
Hakuna kazi kwenye balozi zetu zaidi ya kupiga simu, soga na kutafuna fweza za walipa kodi. Any tom dick and harry can be an ambassador. Kama JK kawa rais why not others. Ndio Tanzania hiyo hakuna lolote la maana ni blah blah za kukutana kijiweni tu na kupasiana tonge za ugali.
 
Mimi ninavyomjua huyu mkuu alikua mkuu wa wilaya,sasa kweli ni ishu gani iliyomsukuma jk aone anaweza kuwa ambassador uko malawi?Hebu tunaomba CV yake kitaaluma coz ukuu wa wilaya tu ndo umemfanya awe qualified kuwa balozi?Huoni tatizo hapo?

Kwa anayesema malawi hatuna serious issue nayo9 simwelewi pia,unajua nchi kama malawi iko ktk strategic location?

Tuna watanzania wanafanya biashara malawi,and there are still some more opportunities kwa watanzania kuwekeza kule

Pia Tunahitaji wateja kwa ajili ya bandari zetu ingwa ziko hoi,pia cooperation in defence nk....usiseme hatuna ishu serious na malawi,basi ubalozi wetu huko ufungwe?
By the way kwenye ubalozi kuna kitu gani cha tija sana? bora kuwa wachapakazi watakaokuwa wilayani kusukuma maendeleo ya wananchi mbele na waliochoka wapelekwe kwenye balozi chovuchovu kama burundi, malawi, zimbwi n.k. Kwangu mimi naiona nafasi ya ukuu wa wilaya kuwa ya manufaa zaidi kwa Watanzania kama tutapata mchapakazi kuliko kuwa na mchapakazi balozi nchini malawi.Shida nyingine ni kuwa wakuu wa wilaya wapo kwa matwaka ya kisiasa na wala sio kwa ajili ya maendeleo ya watanzania husika
 
By the way kwenye ubalozi kuna kitu gani cha tija sana? bora kuwa wachapakazi watakaokuwa wilayani kusukuma maendeleo ya wananchi mbele na waliochoka wapelekwe kwenye balozi chovuchovu kama burundi, malawi, zimbwi n.k. Kwangu mimi naiona nafasi ya ukuu wa wilaya kuwa ya manufaa zaidi kwa Watanzania kama tutapata mchapakazi kuliko kuwa na mchapakazi balozi nchini malawi.Shida nyingine ni kuwa wakuu wa wilaya wapo kwa matwaka ya kisiasa na wala sio kwa ajili ya maendeleo ya watanzania husika


Mkuu,

Mtu kuongoza foreign mission ya Tanzania si masikhara.

It's like watu hawaoni hata umuhimu wa kuwa na ubalozi huko malawi?

Malawi tunawahitaji ktk ushirikiano wa kibiasharaespecially kama bandari zetu zitakua ktk hali nzuri katika matengenezo yatakayofanyika.

Pia,tunawahitaji ktk ushirikiano wa kiulinzi

Tunahitaji mtu mwenye uwezo wa kusimamia na kuongoza maslahi ya Tanzani na watanzania huko Malawi.

Nadhani inabidi kuwa makini zaidi katika teuzi hasa za mambalozi wetu.

By the way,CV ya Tsere kitaaluma imekaaje?hilo ndilo la msingi zaidi..si ukuu wa wilaya tu
 
Mi nadhani Balozi wetu huko Malawi lazima aelewe kuwa kumekuwa na dispute ya muda mrefu kuhusu ulipo mpaka wetu Ziwa Nyasa (wao wanaita Malawi)...wakati sisi tunajua unapita kati kwa kati, wao wameona ziwa lote upande wa Tanzania ni la kwao.

je huyu ataweza kusukuma suala hilo pamoja na mengine yakiwamo ya detention za gafla gafla za wafanyabiashara wa TZ huko Malawi?
 
Mi nadhani Balozi wetu huko Malawi lazima aelewe kuwa kumekuwa na dispute ya muda mrefu kuhusu ulipo mpaka wetu Ziwa Nyasa (wao wanaita Malawi)...wakati sisi tunajua unapita kati kwa kati, wao wameona ziwa lote upande wa Tanzania ni la kwao.

je huyu ataweza kusukuma suala hilo pamoja na mengine yakiwamo ya detention za gafla gafla za wafanyabiashara wa TZ huko Malawi?

Mkuu,

Hasa katika defence cooperation,yaani kuwa mkuu wa wilaya ambaye kiitifaki ndiye mwenyekiti wa kamati za ulinzi za wilaya ndiye anapelekwa kuwa head of our mission abroad?

Ndo maana nikahitaji hata CV yake ili tuone ana nini huyu mkulu otherwise Jk atakua incompetent in appointing our foreign envoys!

Kwanza amekua foreign ministers for ten years bila shaka anajua foreign policy yetu kwa malawi ni nini,na pia foreign policy ya malawi kwetu ni nini.

Pia i hope amezingatia maslahi yetu huko SADC na maslahi ya watanzania kiujumla huko Malawi.So,kama alifikiria haya yote ndipo alipomteua mkuu wa wilaya Patrick Tsere akaona uwakilishi wake ktk wilaya ya ilala ni sawa na kuongoza foreign mission yetu nje!
 
Mkuu,

Hasa katika defence cooperation,yaani kuwa mkuu wa wilaya ambaye kiitifaki ndiye mwenyekiti wa kamati za ulinzi za wilaya ndiye anapelekwa kuwa head of our mission abroad?

Ndo maana nikahitaji hata CV yake ili tuone ana nini huyu mkulu otherwise Jk atakua incompetent in appointing our foreign envoys!

Kwanza amekua foreign ministers for ten years bila shaka anajua foreign policy yetu kwa malawi ni nini,na pia foreign policy ya malawi kwetu ni nini.

Pia i hope amezingatia maslahi yetu huko SADC na maslahi ya watanzania kiujumla huko Malawi.So,kama alifikiria haya yote ndipo alipomteua mkuu wa wilaya Patrick Tsere akaona uwakilishi wake ktk wilaya ya ilala ni sawa na kuongoza foreign mission yetu nje!

mkulu, hizo ni 'assumptions' tu lakini unaweza kukuta wala hajagusa any of the criteria.

ndo maana ni muhimu CV yake ikapatikana hapa, lakini sishangai kama haitapatikana manake sidhani kama Balozi mpya amekuwa so influential manake kama mkuu wa wilaya kuna yule mh Mnali...alichapa walimu viboko hadi leo wanamkumbuka. huenda tunamhitaji kama huyu
 
Wana JF mliochangia Patrick Tsere ninayemjua mimi si huyo ambaye baadhi yenu mmekuwa mkimuelezea with an exception of De Novo. Tsere ambaye Baba yake mzazi alikuwa miongoni mwa madaktari wa awali hata kabla Tanzania haijapata uhuru, alipata formal education kuanzia primary, middle school, secondary (O level) na High School (A level). Baadaye akaenda IDM Mzumbe alikopata Diploma in Public Administration na baadaye akapata Post Graduate Diploma in Management. Aidha anayo MA in Diplomacy.

Amefanya kazi kama Afisa Mipango Wilaya ya Iringa; Manpower Officer Wizara ya Mipango na Uchumi; Wizara ya Mambo ya nchi za Nje (mwaka 1983 hadi 1996 kama Afisa wa Ubalozi ubalozini nchini Zambia wakati huo Ubalozi wa Tanzania ulikuwa pia unatuwakilisha nchi ya Malawi na Botswana); Akaja kuwa in charge of operations idara ya Wakimbizi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 1997 to 2002; 2002 to 2005 akawa CEO wa AICC Arusha baadaye akaenda kugombea ubunge kwao Karatu. 2006 hadi 2009 akawa DC Ilala.

Kwa ufupi hiyo ndiyo CV ya Tsere. Sasa kama inakidhi hizo concerns zenu ninaamini ndani ya CV hii mtapata majibu. Kwa mfano tatizo la mpaka kati ya Malawi na Tanzania hilo ni tatizo tangu enzi za Mwalimu. Sitaki kuamini kuwa Tsere halijui kwa vile akiwa afisa ubalozini Lusaka, nchi ya Malawi ilikuwa sehemu ya brief ya ubalozi wetu na sina shaka tatizo hilo atakuwa analifahamu vizuri sana.

Bila shaka CV hii itakupeni picha ya kuwa Tsere hakubebwa. Ni dhahiri he is fit for the job as he has the required qualifications as well as the expertise, na aliempa hiyo kazi hakukosea. Ninawaomba wanaJF wenzangu kumbukeni ule usemi "No research no right to speak"
 
Wana JF mliochangia Patrick Tsere ninayemjua mimi si huyo ambaye baadhi yenu mmekuwa mkimuelezea with an exception of De Novo. Tsere ambaye Baba yake mzazi alikuwa miongoni mwa madaktari wa awali hata kabla Tanzania haijapata uhuru, alipata formal education kuanzia primary, middle school, secondary (O level) na High School (A level). Baadaye akaenda IDM Mzumbe alikopata Diploma in Public Administration na baadaye akapata Post Graduate Diploma in Management. Aidha anayo MA in Diplomacy.

Amefanya kazi kama Afisa Mipango Wilaya ya Iringa; Manpower Officer Wizara ya Mipango na Uchumi; Wizara ya Mambo ya nchi za Nje (mwaka 1983 hadi 1996 kama Afisa wa Ubalozi ubalozini nchini Zambia wakati huo Ubalozi wa Tanzania ulikuwa pia unatuwakilisha nchi ya Malawi na Botswana); Akaja kuwa in charge of operations idara ya Wakimbizi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 1997 to 2002; 2002 to 2005 akawa CEO wa AICC Arusha baadaye akaenda kugombea ubunge kwao Karatu. 2006 hadi 2009 akawa DC Ilala.

Kwa ufupi hiyo ndiyo CV ya Tsere. Sasa kama inakidhi hizo concerns zenu ninaamini ndani ya CV hii mtapata majibu. Kwa mfano tatizo la mpaka kati ya Malawi na Tanzania hilo ni tatizo tangu enzi za Mwalimu. Sitaki kuamini kuwa Tsere halijui kwa vile akiwa afisa ubalozini Lusaka, nchi ya Malawi ilikuwa sehemu ya brief ya ubalozi wetu na sina shaka tatizo hilo atakuwa analifahamu vizuri sana.

Bila shaka CV hii itakupeni picha ya kuwa Tsere hakubebwa. Ni dhahiri he is fit for the job as he has the required qualifications as well as the expertise, na aliempa hiyo kazi hakukosea. Ninawaomba wanaJF wenzangu kumbukeni ule usemi "No research no right to speak"


Mkuu nashukuru sana.Hiki ndicho nilichokitaka

Mimi sijamuongelea huyu mkulu kwa mabaya ila nilikua concern na suala la CV yake na hasa kitaaluma.

Ndiyo maana nikashangaa kama ni uku wa wilaya tu uliompeleka huko Malawi.so hizo post ni relevant coz hakuna mantiki ya kuwa na balozi asiyeweza kubeba au kuongoza mission yetu nje,vinginevyo hata huo ubalozi hauna maana.

Nashukuru sana ila ili kuweka record clear alisomea wapia MA diplomacy?hebu tuwekee katika mtirirko unaofa kama unaweza mkuu.
Respect sana
 
labda baadhi ya wachangiaji wangefanya utafiti wao kuhusu hili vyema
hata tone ya michango yao ingebadilika.

binafsi niliamini kabla ya kumpiga madongo wachangiaji wangekuja na ushahidi/tuhuma za bw.tsere kushindwa kutekeleza majukumu aliyokabidhiwa kwa ufanisi.
 
Nono it seems hujui how the system is,practically ukuu wa wilaya na mkoa in this country umebaki kuwa position zisizowasaidia wananchi wa wilaya au mkoa husika since they are not put in power na wananchi.Wanateuliwa na Rais to do wat he wants!kwenye balozi thats where real issues are n dont b fooled kuwa hawahitajiki watu walio makini huko,tatizo kubwa tu kwenye kipindi hiki cha uongozi fadhila ndio sababu ya kuteuliwa na sio uwezo.Jk is nat serious
 
Back
Top Bottom