Elections 2010 Trusted sources

Mpenzi

Member
Nov 3, 2009
49
0
Naombeni kuuliza hivyo hizi habari zote za Uchaguzi na ushindi wa majimbo tunazoangalia zinaaminika vipi? Hata kama kuna freedom of speech Jamiiforums inahitaji ku-monitor na ku-verify hizi habari kama ni zaukweli. Mtu ana-post information ukiangalia time in American time, sasa utaaminije hizi habari wakati uchaguzi uko Tanzania?
 
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateTue Nov 2009Posts13Thanks1Thanked 2 Times in 2 PostsKaribu JF
 
Hizi tarifa huwa tunaziita unconfirmed reports.........ni za muhimu kuzijua hasa ukizingatia seriakali ya JK imevikalia kooni vyombo vya habari kutotuhabarisha vilivyo........
 
Naombeni kuuliza hivyo hizi habari zote za Uchaguzi na ushindi wa majimbo tunazoangalia zinaaminika vipi? Hata kama kuna freedom of speech Jamiiforums inahitaji ku-monitor na ku-verify hizi habari kama ni zaukweli. Mtu ana-post information ukiangalia time in American time, sasa utaaminije hizi habari wakati uchaguzi uko Tanzania?

Wewe bwana/bibi hebu acha kuongea kitu usichokijua. Hebu tuambie American time ipo vipi?, Kwa taarifa yako popote ulipo duniani utakapo weka post yako JF inaonesha in East Africa time (GMT +3). Toa sababu nyingine, watu hatujalala usiku kucha wewe unataka kuleta longolongo
 
Back
Top Bottom