Trump kuondoa vikwazo dhidi ya Iran

Kanjwinjwi

JF-Expert Member
Jun 22, 2017
255
342


HomeUSA News

Iran thaw coming? After firing chief hawk, Trump hints at lifting sanctions on Tehran
Published time: 11 Sep, 2019 17:59
Iran thaw coming? After firing chief hawk, Trump hints at lifting sanctions on Tehran

Donald Trump and Hassan Rouhani © Reuters / Leah Millis and Morteza Nikoubazl
  • 28




Follow RT onRT
Days after saying he had “no problem” meeting his Iranian counterpart Hassan Rouhani and soon after firing his hawkish adviser John Bolton, US President Donald Trump has hinted he may lift some sanctions on Tehran.
Iran has been under crippling US economic sanctions since the US unilaterally withdrew lat May from the Joint Comprehensive Plan of Action (JCPOA, or Iran Nuclear Deal). Relations between Washington and Tehran have since deteriorated, with the sanctions accompanied by a military buildup in the Persian Gulf and back-and-forth threats from both sides.
But, speaking to reporters on Wednesday, Trump gave a vague hint that detente could be on the way. “We’ll see what happens,” he said, when asked about easing sanctions on Iran, with a view to meeting Rouhani at the UN General Assembly later this month
 
Hapo Iran atakuwa amefanya concessions ili hilo liweze kufanyika. Vikwazo vimekuwa vikiiumiza sana Iran ila hawawezi tu kukubali waziwazi kwa sababu za unafiki wa kisiasa.
Tusubiri muda utasema.
 
Trump is a business man, kama ching ching inahusika sanctins nazo zitafutwa! Achana na mtu mweupe....
 
Hapo Iran atakuwa amefanya concessions ili hilo liweze kufanyika. Vikwazo vimekuwa vikiiumiza sana Iran ila hawawezi tu kukubali waziwazi kwa sababu za unafiki wa kisiasa.
Tusubiri muda utasema.
Iran alishaweka msimamo wake tangu mwanzo bila vikwazo kuondolewa hafanyi maongezi na ukiangalia kibiasharakushirikiana na Iran kuna maslahi mengi sana ambayo pia US inatahitaji na mwanzo US walidhani wataivamia Iran na badilisha regime kama walivyofanya Iraq na Libya mwisho wa siku wakakutana na kigingi wakagundua ni ngumu haiwezekani kitu ambacho umoja wa ulaya walikiona tangu mwanzo na ndio maana wakawa upande wa Iran wakitetea fursa za kibiashara sasa hapa marekani imekuja kushtuka iko yenyewe na Israel yake huku France na China kila mmoja kwa wakati wake wakichangamkia fursa ya kibiashara ambapo pia mwisho wa siku vikwazo vingelegea vyenyewe automatically
 
Hapo Iran atakuwa amefanya concessions ili hilo liweze kufanyika. Vikwazo vimekuwa vikiiumiza sana Iran ila hawawezi tu kukubali waziwazi kwa sababu za unafiki wa kisiasa.
Tusubiri muda utasema.
Hanna kitu kama hicho kwani lengo la marekani tangu
Hapo Iran atakuwa amefanya concessions ili hilo liweze kufanyika. Vikwazo vimekuwa vikiiumiza sana Iran ila hawawezi tu kukubali waziwazi kwa sababu za unafiki wa kisiasa.
Tusubiri muda utasema.
Acha kutulisha matango pori wewe .
Tangu trump aingie marekani msimamo wake ulikuwa ni kuiondoa serikali ya Iran madarakani na kuidhibiti Isifanye chochote mashariki ya kati.
Hata mwaka Jana Bottom wakati akiwautubia wapinzani wa selikali ya Iran wanao ishi uhamishoni ,aliwambia wajiandae kusherekea kuanguka kwa serikali ya Iran ,lakini yeye ndio kaanza kuanguka wakati Iran bado inadunda.
Hata nyinyi wafuasi wa taifa teule mulikuwa kula siku mkitutambia ya kwamba vikwazo alivyo wekewa haiwezi hata kuvihimili hata kwa miezi sita na serikali itanguka,lakini mpaka sasa ni mwaka wa pili hatuoni hata dalili Iran kuanguka kama mlivyo kuwa mnatuaminisha.
 
Nadhani hio Habari imekuumiza coz umeskia kua Iran kashinda game, Silaha za Nuclear anazo na miradi yake inaendelea kama kawa na pia vikwazo ataondolewa, hakuna namna
Hapo Iran atakuwa amefanya concessions ili hilo liweze kufanyika. Vikwazo vimekuwa vikiiumiza sana Iran ila hawawezi tu kukubali waziwazi kwa sababu za unafiki wa kisiasa.
Tusubiri muda utasema.
 
Iran hana silaha za nuclear. Hizo ni taarifa za redio mbao na vikwazo bado vipo kama ni kuondolewa ni partially tu.
 


HomeUSA News

Iran thaw coming? After firing chief hawk, Trump hints at lifting sanctions on Tehran
Published time: 11 Sep, 2019 17:59
Iran thaw coming? After firing chief hawk, Trump hints at lifting sanctions on Tehran

Donald Trump and Hassan Rouhani © Reuters / Leah Millis and Morteza Nikoubazl
  • 28




Follow RT onRT
Days after saying he had “no problem” meeting his Iranian counterpart Hassan Rouhani and soon after firing his hawkish adviser John Bolton, US President Donald Trump has hinted he may lift some sanctions on Tehran.
Iran has been under crippling US economic sanctions since the US unilaterally withdrew lat May from the Joint Comprehensive Plan of Action (JCPOA, or Iran Nuclear Deal). Relations between Washington and Tehran have since deteriorated, with the sanctions accompanied by a military buildup in the Persian Gulf and back-and-forth threats from both sides.
But, speaking to reporters on Wednesday, Trump gave a vague hint that detente could be on the way. “We’ll see what happens,” he said, when asked about easing sanctions on Iran, with a view to meeting Rouhani at the UN General Assembly later this month


Allah Akbar....
 
Tatizo lenu ndio hilo, mnawaona kama hao marekani ndio wanaojua kila kitu kuhusu kinachoendelea ktk nchi nyengine, hayo mawazo ondoa mkuu, KUHUSU IZRAIL: Izrail ni kikundi cha wahuni kilichopewa silaha na wamagharibi ili kikae kwa nguvu ktk Ardhi za watu so Usifananishe kabisa na Taifa kama Iran, na hawawezi kujua kinachoendelea labda watoe propaganda kuhusu Iran
Iran hawezi kuwa na silaha hizo eti Marekani au Israel wasifahamu. It's not possible.
 
Unafkiri kwenye secret tunnels za Iran kunaoteshwa pamba??
Umemjibu nilichotaka mjibu.
Hajui km hadi leo hii Israel na bwana wake wanatafuta namna ya kugundua kuna aina gani za silaha ndan ya zile tunnels na hzo tunnels zipo maeneo gan,maana wahajemi wamerikodi tu kwa ndan halafu wameonesha tu makombora ambayo hayajulikan uwezo wake wala ni aina gani ya makombora na secret tunnel haiko moja ziko zaidi ya moja.

Anakariri maisha huyu jamaa.
 
Umemjibu nilichotaka mjibu.
Hajui km hadi leo hii Israel na bwana wake wanatafuta namna ya kugundua kuna aina gani za silaha ndan ya zile tunnels na hzo tunnels zipo maeneo gan,maana wahajemi wamerikodi tu kwa ndan halafu wameonesha tu makombora ambayo hayajulikan uwezo wake wala ni aina gani ya makombora na secret tunnel haiko moja ziko zaidi ya moja.

Anakariri maisha huyu jamaa.
ID ya tatu hii
 
Hapo Iran atakuwa amefanya concessions ili hilo liweze kufanyika. Vikwazo vimekuwa vikiiumiza sana Iran ila hawawezi tu kukubali waziwazi kwa sababu za unafiki wa kisiasa.
Tusubiri muda utasema.
Unaonekana ulikua na mawazo ya kitumwa toka kipindi chakula chako maji ya uvuguvugu maana huyo marekani unamchukulia kama nani sijui hata hukumbuki kama utawala wote upo mikononi kwa mwenyezi mungu ndio ashindwi jambo. Hivi hujiulizi kati ya marekani na firauni nani alikua na nguvu na watu wazamani aina kama ya kwako walikua wanaamin hivyohivyo kama firauni hakuna wa kumuweza.
 
Back
Top Bottom