Trump: Kama nisingekuwa Rais, Tungekuwa kwenye vita na North Korea

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,842
Nilikuwa naangalia hotuba ya Trump leo usiku kupitia CNN, Trump ameishutumu China kwa kusema walifanya uzembe na kusababisha virusi vya Corona kusambaa Duniani.

Amesema Marekani inafanya uchunguzi mkali ili kubaini ukweli juu ya China kusambaza kwa makusudi virusi hivyo kwa Dunia.

Ila kauli iliyonishutua ni Hii kauli Trump alikuwa na maana gani? 'Amesema yeye asingekuwa Rais wa marekani wangekuwa kwenye vita na taifa la Korea'

Amesema anamtakia afya njema Rais wa North Korea!.

Wajuzi wa mambo ebu nielewesheni juu ya hii kauli ya Trump! ana maana gani?
 
Jamaa anatumia nafasi Hiyo kwa uchaguzi unaokuja,we huoni kabisa kama kampeni Hiyo,kuna sehemu nimesoma Democrats sana mpango waanze kumzuia Kufanya hivyo
 
Kabla ya uchaguzi 2016 jaribu kufuatilia kampeni za Trump

Alimlaumu Obama kuivuruga syrua na libya alisema kumuua gadafi ilikuwa mistake sabb mpk sasa libya imekuwa hovyo

Akasema atam-control North korea kwa kumforce china amuwekee vikwazo Kim na kama unakumbuka china alitetereka tokea Trump aingie madarakani na kama una kumbukumbu china alimuwekea vikwazo north korea kasoro tu hakufunga bomba la mafuta tu na trump alikuwa anam-pressure china amfungia bomba north ili north korea asalende
.

Ila rais mwingine angetumia njia tofauti na kweli maneno ya kampeni yake aliyaishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Trump anahaha na Corona huku China anatengeneza manowari za kivita kwa miezi tu
China ambae ndio anaongoza kwa kuwa na manowari nyingi duniani za kivita bado anaongeza zingine

Ingawa America ndio inaongoza kwa nguvu za navy lakini China pia hayuko nyuma
Vita hakuna ila ubabe wanaonyeshana hasa na hili la Corona ndio vita tosha
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wakati Trump anahaha na Corona huku China anatengeneza manowari za kivita kwa miezi tu
China ambae ndio anaongoza kwa kuwa na manowari nyingi duniani za kivita bado anaongeza zingine

Ingawa America ndio inaongoza kwa nguvu za navy lakini China pia hayuko nyuma
Vita hakuna ila ubabe wanaonyeshana hasa na hili la Corona ndio vita tosha View attachment 1433102


Sent from my iPhone using Tapatalk
Wakati china wanatengeneza manowari leo.Marekani ana manowari za kijeshi 1000+.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujamwelewa.Kuna muda mzee Bolton alishawahi kumshawishi kuwa waingie vitanu na North k akakataa.Angekuwa obama aliyekuwa anaendeshwa na Hilaly angekubari.Nadhani hiyo ndio hoja yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo sio jibu, Trump anataka kujichukulia sifa za kijinga marekani haijawah kuingia Vita na north Korea kwa hiyo ana Cha kujivunia, na huwez sema Obama angeingia vitan na wakati north Korea still alikua anafanya uchokoz huu anaoufanya mpaka sahivi

Na labda umeanza kufuatilia north Korea kipind Cha Trump, lakin tokea baba yake kiduku, na Babu yake wote walikua Kama unavyomuona kiduku, sababu hivo vinu vya nuclear vimetengenezwa kipindi Cha nyuma kabla hata kiduku kuwa rais

Sababu maximum ya kutengeneza kinu Cha nuclear ni miaka kumi kwa teknolojia Ile ya zaman
 
Wakati Trump anahaha na Corona huku China anatengeneza manowari za kivita kwa miezi tu
China ambae ndio anaongoza kwa kuwa na manowari nyingi duniani za kivita bado anaongeza zingine

Ingawa America ndio inaongoza kwa nguvu za navy lakini China pia hayuko nyuma
Vita hakuna ila ubabe wanaonyeshana hasa na hili la Corona ndio vita tosha View attachment 1433102


Sent from my iPhone using Tapatalk
"In months" kama kawaida ya china.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati china wanatengeneza manowari leo.Marekani ana manowari za kijeshi 1000+.

Sent using Jamii Forums mobile app

Za zinajulikana 490 tu na 90 aidha zipo kwenye matengenezo au zinafufuliwa ila hizo 1000+ Ungetuweka na sauce
China hajaanza kutengeneza manowari za kivita LEO kama ulivyoandika
Kawasome Han Dynasty wa China kuhusu meli za kivita ilikuwa 138BC
Ni miaka zaidi 1000
Hatushindani hapa ila facts tu please



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nilikuwa naangalia hotuba ya Trump leo usiku kupitia CNN, Trump ameishutumu China kwa kusema walifanya uzembe na kusababisha virusi vya Corona kusambaa Duniani.

Amesema Marekani inafanya uchunguzi mkali ili kubaini ukweli juu ya China kusambaza kwa makusudi virusi hivyo kwa Dunia.

Ila kauli iliyonishutua ni Hii kauli Trump alikuwa na maana gani? 'Amesema yeye asingekuwa Rais wa marekani wangekuwa kwenye vita na taifa la Korea'

Amesema anamtakia afya njema Rais wa North Korea!.

Wajuzi wa mambo ebu nielewesheni juu ya hii kauli ya Trump! ana maana gani?
Wanakuja military raison d'etat kutoka USA, China na North Korea kushusha nondo tulia soon utawaona
 
Wakati Trump anahaha na Corona huku China anatengeneza manowari za kivita kwa miezi tu
China ambae ndio anaongoza kwa kuwa na manowari nyingi duniani za kivita bado anaongeza zingine

Ingawa America ndio inaongoza kwa nguvu za navy lakini China pia hayuko nyuma
Vita hakuna ila ubabe wanaonyeshana hasa na hili la Corona ndio vita tosha View attachment 1433102


Sent from my iPhone using Tapatalk
Ngoja waje wa US wa Afrika

Sent using My COVID-19
 
Nilikuwa naangalia hotuba ya Trump leo usiku kupitia CNN, Trump ameishutumu China kwa kusema walifanya uzembe na kusababisha virusi vya Corona kusambaa Duniani.

Amesema Marekani inafanya uchunguzi mkali ili kubaini ukweli juu ya China kusambaza kwa makusudi virusi hivyo kwa Dunia.

Ila kauli iliyonishutua ni Hii kauli Trump alikuwa na maana gani? 'Amesema yeye asingekuwa Rais wa marekani wangekuwa kwenye vita na taifa la Korea'

Amesema anamtakia afya njema Rais wa North Korea!.

Wajuzi wa mambo ebu nielewesheni juu ya hii kauli ya Trump! ana maana gani?
Mi nahisi nisuala zima lakampeni tu hakuna lazaidi.

Sent using My COVID-19
 
Za zinajulikana 490 tu na 90 aidha zipo kwenye matengenezo au zinafufuliwa ila hizo 1000+ Ungetuweka na sauce
China hajaanza kutengeneza manowari za kivita LEO kama ulivyoandika
Kawasome Han Dynasty wa China kuhusu meli za kivita ilikuwa 138BC
Ni miaka zaidi 1000
Hatunishani hapa ila facts tu please



Sent from my iPhone using Tapatalk
Tukisoma kuhusu manowari za kivita tunazungumzia kuhusu total displacement hatuzungumzii idadi ya namba. Naweza nikawa na Scania 114 mpya moja wewe una kirikuu mpya kumi na ukaenda unashangilia kuwa una magari ya mizigo kumi huku mimi ninalo moja.

China ana missile boats na coastal defense ships nyingi, US ana corvettes, destroyers, aircraft carriers na cruisers nyingi zaidi, bado hujataja submarines ambazo US anazo kubwa na za kutosha zilizokuwa more advanced, more stealth na zinabeba missiles nyingi. China ana subs ndogo, chache, ni diesel powered na zinapiga kelele ni rahisi kuzitrack.
US NAVY ina total displacement zaidi ya mara tatu ya PLA NAVY.
 
Duh!...Ina maana kwenye kila bahari kubwa hapa duniani kuanzia bahari ya Hindi, Atlantic, Pacific Marekani ana manowari zake kadhaa za kijeshi zinazofanya operesheni za kijeshi pamoja na doria.

Noma sana hawa mabeberu.
Navy ya Marekani ina fleet kila bahari. Kubwa zaidi nadhani ni Pacific fleet. Pale ghuba ya Uajemi wana meli zao kulinda msafara wa mafuta, pale Giblaltar wana meli zao kumonitor meli zinazoingia Ulaya na kutoka, pale South China sea wana meli zao na carrier group mara kadhaa inapelekwa pale, Baltic sea kuna submarine zao zinazurula kuchunguza mwenendo wa Urusi. Bado kuna satellite angani. Bado kuna maritime patrol aircrafts kama Orion na Poseidon. Bado kuna cable zimetandazwa baharini as listening devices.

China Navy yake ni regional navy, huwezi kumwambia China apigane na Marekani kwenye bahari tofauti na nyumbani akaweza. Na madhara ya kupigana ukiwa nyumbani mnayajua, kama sio soma kilichotokea kwa Japan WW2.
 
Back
Top Bottom