Kwa nn? Apa kwy mnara Effel tower Ndio waonyeeesheee, kwani ndio center ya vita
Kweli kabisa Mkuuunot that way, jamaa wameshamuua waliemtaka, kazi yao imeisha, Iran wamelipua base bila kusababisha madhara yoyote ya maana, hawajaua mtu, hii ni kama mind game of a kind!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa Mkuuu
Wamemuua wamesahau jini lake tuuuuView attachment 1317607View attachment 1317608
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si ndiyo roho?Ni kweli kabisa.... Inaenda roho
Jr
Wewe si ndiyo roho?
Huo ni mwili wako ambaye wewe ndiyo roho
Niliyesema huendi mbinguni
Sent using Jamii Forums mobile app
"Beautiful military eauipment can not rule the world, people will" hii kauli naiona ya kisiasa zaidi, vita sio uungwaji mkono wa watu wako kwamba wapo wengi, vita ni umejiandaaje, una zana zipi, na hizo silaha za nuclear kwa upande wangu naziona hatari hata kwa anae zimiliki. Ni gharama sana kutunza hivyo vinu visije kuvuja, kwasababu mionzi yake ni hatari sana kwa uhai, kwa hiyo hata Iran anapoteza pesa nyingi kwenye kutunza hivyo vinu. Siamini kama kuna siku wataweza kuzitumia hizo silaha, kuzimiliki ni kama njia fulani ya kuonesha wengine na wewe unazo wasikuchezee, but pia zinakuumiza gharama ya kuzi handle.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anagonga mvinyo wkt washirika wa US wa kijeshi huko Iraq wanatoa wanajeshi wao na kuwahamishia kuwait.Marekani hawezi kwenda Vitani kamwe! Anacho fanya yeye pale Irani ni kuwabinya taratibu wale makonk hasa wanasayansi na makonk wa vita kama huyo jamaa aliyeuawa juzi.
Kuna Makala moja niliona jinsi wanasayansi wa Irani wanavyopotea katika mazingira ya kutatanisha yote hii ni kufanya Irani iwe kama kibudu.
Iran saa hii anashangilia kalipiza kisasi kwa kumshambulia kambi za USA, mashambulizi ambayo haya kuwa na impact yeyote kwa USA lkn wao wameshapiteza kamanda wao tegemewa,!
Marekani hapo alipo anacheka na kugonga mvinyo.
Sent using Jamii Forums mobile app