The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,435
- 17,076
Trump ametunga Sheria au maarufu kama Executive order ya kuyadhibiti makampuni ya kutengeneza madawa ya binadamu kushusha bei ya dawa muhimu za binadamu.
Kwa wastani raia wa Marekani analipa zaidi ya 100% au mara 2 ya bei ya dawa kulinganisha na rais wengine wa nchi nyingine zilizoendelea. Mfano raia wa Uingereza ama Ulaya ananunua Panadol kwa Dollar 2, basi rais wa Marekani yeye atainunua dawa hiyo hiyo kwa Dolla 4 au 5.
Makampuni ya madawa Marekani yamekua yakiuza dawa kwa bei ghali sana kulinganisha na mahala popote Duniani. Obama aliahidi kupambana na haya makampuni lakini alishindwa hadi muda wake unamalizika.
Sasa Trump amepitisha sheria inayoyataka makampuni hayo kupunguza bei ya dawa kwa zaidi ya 50%. Makampuni ya madawa yamtuhumu Trump kua anataka kuua ubunifu na ugunduzi wa tiba kwa kushusha bei ya dawa, Trump anasema hakuna kitu kama hicho.
Makampuni ya madawa yameanza kampeni ya kumchafua Trump ashindwe uchaguzi ujao.
Kwa wastani raia wa Marekani analipa zaidi ya 100% au mara 2 ya bei ya dawa kulinganisha na rais wengine wa nchi nyingine zilizoendelea. Mfano raia wa Uingereza ama Ulaya ananunua Panadol kwa Dollar 2, basi rais wa Marekani yeye atainunua dawa hiyo hiyo kwa Dolla 4 au 5.
Makampuni ya madawa Marekani yamekua yakiuza dawa kwa bei ghali sana kulinganisha na mahala popote Duniani. Obama aliahidi kupambana na haya makampuni lakini alishindwa hadi muda wake unamalizika.
Sasa Trump amepitisha sheria inayoyataka makampuni hayo kupunguza bei ya dawa kwa zaidi ya 50%. Makampuni ya madawa yamtuhumu Trump kua anataka kuua ubunifu na ugunduzi wa tiba kwa kushusha bei ya dawa, Trump anasema hakuna kitu kama hicho.
Makampuni ya madawa yameanza kampeni ya kumchafua Trump ashindwe uchaguzi ujao.