Trump atoka kwenye mkutano wa G20 na kiti kukaliwa na mwanae. Kisa utawala mbovu wa viongozi Afrika

Ukiisoma vizuri ni kwamba, TRUMP amewadharau wamarekani zaidi kuliko anavyodhani kawadharau waafrica. Maana protocal za kiutawala wa marekani haumtambui mtoto wake kama msemaji kwa lolote. Vinginevyo angemwachia mshauri wake wa masuala ya Africa.

Lakini pia amewadharau zaidi waandaaji maana kama hakua na la kusema ilikuaje mkutano huo uakamwekea kiti ilihali alishaonyesha nia yake ya kutotaka kujadili maswala ya Africa.

Viongozi wa Africa wanaweza kujibu kwa kutomualika kuja kwenye nchi yeyote Africa kwa kipindi chake chote na pia kutoshiriki kwenye mkutano wowote atakaokuwepo. Mfano UN siku TRUMP anahutubia wote wanatoka nje.

Hapo ndipo heshima itarudi
 
Bora alitoka tu maana wangeijadili afrika vibaya. Mwaka 1885 kwenye mkutano wa Berlin waliafikiana kugawana sehemu za Afrika na kuzitawala. Mwaka 2017 mkutano wa Humberg wangeweza kuja na maazimio mabaya kuhusu Afrika
 
Yupo sahihi viongozi wanaopewa fursa tamaa zinawazidi.

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Nazan bara la Africa limekuwepo kwa bahati mbaya tuu.ukiangalia yanayotendeka Africa kweli huwez dhani kama kuna utu dunian.Trump upo sawa nataman hyo G20 ipitishe mswada wa kuitawala tena AFrica.

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza tuambie user name yako ni kanyama kale alikozungumzia mshana Jr?
Huyo samaki anaitwa piranha..mcheki mtandaoni utamwelewa zaidi. Madiwani wa Arusha wanazidi kumkubali mzee mzima Magu.najua hata wewe unamkubali japo kimoyomoyo
 
Pumbavu zake katudharau sana

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Marekani, Donald Trump juzi alitoka nje ya mkutano wa G20 huko Berlin, Ujerumani na kiti chake kukaliwa na mwanae wa kike Ivanka Trump pale ulipofika muda wa kujadili masuala ya Afrika na ajenda hiyo ilipomalizika alirejea mkutanoni, na kudai hawezi kupoteza muda kuwajadili watu walioshindwa kujitawala.

Unadhani Trump yupo sahihi?
Demokrasia ndio mama.afrika viongozi wetu wanapenda kuonekana miungu watu.kama hapa kwetu,wanaojua tawala wamwangalie Barack obama

Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
 
Huyo samaki anaitwa piranha..mcheki mtandaoni utamwelewa zaidi. Madiwani wa Arusha wanazidi kumkubali mzee mzima Magu.najua hata wewe unamkubali japo kimoyomoyo
Mshana Jr njo
Huyo samaki anaitwa piranha..mcheki mtandaoni utamwelewa zaidi. Madiwani wa Arusha wanazidi kumkubali mzee mzima Magu.najua hata wewe unamkubali japo kimoyomoyo
Mkuu mshana Jr njoo huku kuna kanyama huku
 
Ukiisoma vizuri ni kwamba, TRUMP amewadharau wamarekani zaidi kuliko anavyodhani kawadharau waafrica. Maana protocal za kiutawala wa marekani haumtambui mtoto wake kama msemaji kwa lolote. Vinginevyo angemwachia mshauri wake wa masuala ya Africa.

Lakini pia amewadharau zaidi waandaaji maana kama hakua na la kusema ilikuaje mkutano huo uakamwekea kiti ilihali alishaonyesha nia yake ya kutotaka kujadili maswala ya Africa.

Viongozi wa Africa wanaweza kujibu kwa kutomualika kuja kwenye nchi yeyote Africa kwa kipindi chake chote na pia kutoshiriki kwenye mkutano wowote atakaokuwepo. Mfano UN siku TRUMP anahutubia wote wanatoka nje.

Hapo ndipo heshima itarudi
Unafikiria viongozi wenu wanahuo ujanja? Hata wakifanya hivo unafikiri trump anajali? Tena wakijaribu tutaadhibiwa vibaya mno na hivi tunastruggle na huu uchumi legevu! He doesnt give a damn shit! Kuja huku huwa ni kama hisani mabalozi wao wapo effective na anaweza asikanyage Africa!
 
Weka ushahidi mkuu japo yule bwana alishadhihirisha kudharau viongoz wa kiafrika kipindi cha kampen za uraisi

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom