Mtoto Wa trump aitwae tiffany trump nimemzimikia kinoma.nasikia ana mtoto anaitwa jesca
Sijawahi kushuhudia hotuba mbovu na ya kibaguzi kama aliyohutubia huyo Bw. Trump. Kwa kifupi Urusi wamefanikiwa mpango wa kuiangusha marekani Kwa kumuingiza Trump White houseSidhani kama your assessment of Trump is correct.Infact kama atafanikiwa kutekeleza malengo yake kama alivyoainisha kwenye inauguration speech yake,he could be the best American President ever. Tatizo ni kwamba NWO wamempaka matope mno na watu bila kujua wamekubali ujinga wao.Please read between the lines his inauguration speech, it is the best ever, to the point.
Haya ndo mnayoyaweza watanzania.nasikia ana mtoto anaitwa jesca
Ni kawaida Marekani kubadilisha mabalozi wote pale ambapo Chama kilichokuwa kinatawala kimeshindwa kwenye uchaguzi kwani sera zao zinatofautiana kwa kila chamaRais wa 45 wa Marekani amewatimua mabalozi waliokua wakiwakilisha nchihiyo dunia nzima sijui hii imekaaje kwani najiuliza nikua hawakumuunga mkono au shida ilikua wa nini mpaka kufikia maamuzi hayo nafkir hii tumbuatumbua sasa ndo staili ya kutawala