Akitoka madarakani anaweza kushtakiwaHalina na litamharibia anaitia doa Katiba ya marekani.
na iwe hivyo, anaonekana ni mpuuzi sana huyu.....mbona mwaka ule mpinzani wake, hilary, alikubali tu kiroho safi ingawa kulikuwa na hisia za makandokando kutoka urusi
Hayo ni mateke ya mwisho ya farasi anayekata rohoTrump Anatengeneza mgogoro wa kikatiba wafuasi wake wamevamia bunge muda huu.
Umevurugwa wewe siyo bureTrump hajashindwa bado
Anazidi kujimaliza kabisaaaatendo hili lina faida yoyote kwa trump?
Hao watu wangekua ni weusi wangepigwa shaba huku wakiitwa ni terrorists kama kipindi kile cha BLM ila sababu ni weupe aaaaarh basi fresh kabisa hao ni protestors.Huu ustaarabu huku bara giza hautatokea kamwe
Duh wamenyanganywa na nani sasa?Kumetokea kurushiana risasi baadhi ya polisi wamenyanganywa silaha