FactWamarekani walikosea kumpa nchi Trump just like us
nadhani yule anahtajika kupelekwa jera au sehemu afungiwe kwanza nadhani itasaidia kama nchi kufanya mengne ya msingiTrump amemtaka makamu wa rais mike pence kutocertify ushindi wa Joe Biden.
Pia amewataka wafuasi wake kuvamia bunge na wamefanya hivyo sasahivi.
Waandamanaji wamevuka utepe wa polisi kuingia jengo la capital Hill.
USA sio Tanzanianadhani yule anahtajika kupelekwa jera au sehemu afungiwe kwanza nadhani itasaidia kama nchi kufanya mengne ya msingi
yule nadhani karogezewa hivi maana sio bure jamani..mtu amekuwa kama gogo halisikii wala halielewiHalina na litamharibia anaitia doa Katiba ya marekani.
Acha wanywe dawa YaoTrump ni muhuni aisee nimeamini
naaam hakika.Acha wanywe dawa Yao
Walizoea kuchochea kwingine
Yule akili yake ni nyingine, watapigwa sanaUnakuja kwa huyo dictator wa EA.
Yaani hata story za kuwa dunia nzima kutakuwa na Rais mmoja, wala wamarekani hawatatumia nguvu.duu, ila marekani taifa kubwa aisee, vyombo vyote vya habari vimeacha habari zao na viko huko muda huu!!!