Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,647
- 24,076
Mkuu una mtakia nn mheshimiwaNimesikitishwa Sana na Balozi wetu kutotoa karipio kali kwa Marekani hasa baada ya kutumia nguvu na watu wanne kufariki pale Washington DC "Capitol"
Mkuu una mtakia nn mheshimiwaNimesikitishwa Sana na Balozi wetu kutotoa karipio kali kwa Marekani hasa baada ya kutumia nguvu na watu wanne kufariki pale Washington DC "Capitol"
Huwa wanaapa kuilinda katiba siyo kumtii raisiIla vyombo vya usalama vya wenzetu vinalimda raia kweli ingekuwa kwetu watu washauwawa maana jamaa wametinga ndani kabisa ya korido za bunge.
Umemjenga vipi Pence?Ila huu mgogoro umemjenga Mike pence makamu wa Trump na kutokana na uzee wa Joe Biden basi Mike pence ndio POTUS AJAE
😂😂😂Mkuu una mtakia nn mheshimiwa