white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,277
Hakuna kitu kama hicho, tena wamarekani wengi wamefurahia uamuzi huu!!kwani hii vita ni miaka 20, sasa kama ni vifaa, mafunzo hadi mishahara USA, ndio alikuwa akiwalipa ili wajiandae kuna siku hatakuwepo, lakini wapi!ni zaidi ya $.bilioni mia moja, zimetumika, .Ni wazi kuwa USA, alijua kuwa akiondoka ndani ya miezi kama 3, watalibani watarudi, lakini sio kwa kisi hii ya kama siku 14 tu, wameshafika KABUL!!hata kama USA, asingeyatoa majeshi yake leo, akasubilia miaka 10, mbele kilichotokea leo ndicho kingekuja tokea tu!!!Biden ameruhusu kamba ikatikie pabovu na hii itawacost Democrat uchaguzi unaokuja. Trump atapeta kiulaini sana. Wameshamsafishia njia.