Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
Hakika
Sent using My COVID-19
Nandio maana natamani ajitoe katika mashirika yote anayo ya fund pesa mingiii ili tuteseke weeeee tukija tukikaa sawa basi sisi safari tu kwenda mbele US Atabakia Kua Kama AUSTRIA na HUNGARYUzuri wa hii strategy ni kwamba watu wataumia kwa kipindi flani then wataweza kusimama kwa miguu yake then baada ya hapo nchi mbalimbali duniani zitakua haziiogopi US maana zinajua haziitegemeii kwa lolote lile,hata ipige mikwara ya Vikwazo watu hawashtuki tena.
Trump anadhani wenzake walikua wajinga ku-print ma $$$ na kuyagawa kwny mashirika/nchi mbalimbali?Wanajua mtoa pesa ndio ataheshimika na ndio gharama za u-superpower,sasa wewe hutoi pesa nani akuogope hapa Duniani?
Trump inatakiwa aendelee kufanya hivi hivi baada ya muda kidogo itakua US ikitoa tamko/vikwazo ni kama vile tu ambavyo belgium/italy/Norway imetoa tamko yaani hamna mtu anshtuka wala nini.
Sent using My COVID-19