Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
China hapendi kabisa kuitwa developed country, na wala fedha yao kuwa na thamani zaidi ya Top currencies
Mchina mjanja sana, ngoja tuone nani ataibuka mshindi.
China hapendi kabisa kuitwa developed country, na wala fedha yao kuwa na thamani zaidi ya Top currencies
Duuh saivi umeshakuwa "sisi china" wabongo bana,,kipindi marekan ana vita na urusi mlikuwa "sisi marekani"US
Aache Kulia Lia Anavikwazo ambavyo kila siku anamuekea jamaa jamaa halii lii wala nn ss yy analia lia na nn
Kama mwanaume mwambie apambane nae 2
Jamaa walisha jiandaa mda sana maana waliyategemea haya katika miaka yambeleni
US Wanatakiwa watambue kama kwa ss CHINA Sio wakukabiliana nae kwa vitisho muda wa US Kutamba Kama zamani ulishapitwa na wakati ila naona anafosi 2 maana kwakujua anajua wazi kama as hv sio kama miaka ile ya 1960s mpaka 1990s
Mambo yamebadilika MNOOO