Kila siku huwa nasema mzungu hajawahi kumpenda mtu mweusi.
Wishful thinkingIko siku sio mbali na yeye trump na nchi yake watakuwa shithole believe me!
I do believe na itakuwa kwanguWishful thinking
Hahahaha uwiiiTena Tund Choo Lisu ndo kaenda kwa Muzungu kutushitaki, halafu na low IQ chadema fans wanamuona Tundu Choo Lisu intelligent!
Trump huwa ananifurahisha sana. Hakuna kurembaUlitaka iwekwe vipi mkuu?
I can tell how pissed you're!
Huyu ndo Trump, and we have 3 more yrs with him..