Trump aiomba Korea Kaskazini kufanya mazungumzo mezani

comrade igwe

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
7,295
3,939
th


Rais wa Marekani Bw Donald Trump ameiasa nchi ya Korea Kaskazini kufanya mazungumzo kuhusu mpango wake wa silaha za kinyuklia, Rais Trump ameongea hayo leo tarehe 7.11.2017 wakati anaongea na waandishi wa habari pamoja na Rais wa Korea Kusini Moon jae jijini Seoul akiwa katika ziara ya nchi tano za Asia, Trump alisema " Korea Kaskazini njoo kwenye meza ya mazungumzo kuhusu silaha za kinyuklia ninashukuru mungu sitaweza kutumia nguvu ya kijeshi Pyongyang",aidha, ziara ya Bwana Trump katika bara la Asia ina agenda ya mazungumzo ya nyuklia kuhusu Korea Kaskazini, wakati huo huo Wizara ya Ulinzi ya Korea kaskazini imesema itafanya jaribio la saba la kinyuklia mwishoni mwa wiki hii.
 
trump anasubiria muda muafaka ufike aitumie NKorea kama njia ya kushinda 2020, tusubiri mtaona kitachotokea kati ya 2019 na 2018
 
Ukitaka kumuua adui kiurahisi kabisa bila kutumia nguvu kubwa "Make him/her your friend" US intelligence kazini..!! Hapo wanampumbaza Kiduku, mara paaaaap wamemsambaratisha..!!
 
Ukitaka kumuua adui kiurahisi kabisa bila kutumia nguvu kubwa "Make him/her your friend" US intelligence kazini..!! Hapo wanampumbaza Kiduku, mara paaaaap wamemsambaratisha..!!

MSS hawatakubali kabisa
 
th


Rais wa Marekani Bw Donald Trump ameiasa nchi ya Korea Kaskazini kufanya mazungumzo kuhusu mpango wake wa silaha za kinyuklia, Rais Trump ameongea hayo leo tarehe 7.11.2017 wakati anaongea na waandishi wa habari pamoja na Rais wa Korea Kusini Moon jae jijini Seoul akiwa katika ziara ya nchi tano za Asia, Trump alisema " Korea Kaskazini njoo kwenye meza ya mazungumzo kuhusu silaha za kinyuklia ninashukuru mungu sitaweza kutumia nguvu ya kijeshi Pyongyang",aidha, ziara ya Bwana Trump katika bara la Asia ina agenda ya mazungumzo ya nyuklia kuhusu Korea Kaskazini, wakati huo huo Wizara ya Ulinzi ya Korea kaskazini imesema itafanya jaribio la saba la kinyuklia mwishoni mwa wiki hii.

Trump calls on North Korea to ‘come to the table and make a deal’
-Financial Times

Donald Trump has urged North Korea to “come to the table and make a deal”, as he hailed US progress in countering the threat from Pyongyang in comments marking a departure from his typically fiery rhetoric.“I do see certain movement,” the US president said about efforts to deal with the Kim Jong Un regime’s rapidly advancing nuclear and ballistic missile programmes, without providing details. “It makes sense for North Korea to come to the table and make a deal.”However, the US president warned that military force was still an option if Pyongyang threatened America or its allies.

Speaking at a press conference with South Korea’s Moon Jae-in after private meetings in which the two presidents reaffirmed their nations’ “ironclad” alliance, Mr Trump said he would not allow Pyongyang to threaten South Korea’s safety.Mr Trump said Mr Kim was “threatening millions and millions of lives so needlessly”, and stressed that the US had immense military capabilities. “We hope to God we don’t have to use [military force],” he said.The US president landed in Seoul after spending two days in Tokyo, where he warned Mr Kim that the US stood firmly behind its ally Japan in the face of mounting provocations from Pyongyang.Tensions have escalated on the Korean peninsula this year as North Korea has accelerated the pace of its weapons tests, launching its first inter-continental missiles, firing two rockets over Japan and detonating its sixth and largest nuclear bomb. However, it has not tested a ballistic missile in almost two months — a development the White House is likely to have noted.While previous US administrations insisted “all options are on the table”, Mr Trump has gone further by warning that the US would “totally destroy” North Korea if forced to defend itself or its allies.
 
KIDUKU kasomea US hivyo anazijua akili za wazungu na hawezi kuamini hayo maneno ya Trump hata siku moja ndo maana anafanya jaribio lingine LA nyuklia, anajua kuwa anataka kumhadaa ili ampige kirahisi, na yeye hataki kubweteka maana wamarekani anawajua in and out.
 
KIDUKU kasomea US hivyo anazijua akili za wazungu na hawezi kuamini hayo maneno ya Trump hata siku moja ndo maana anafanya jaribio lingine LA nyuklia, anajua kuwa anataka kumhadaa ili ampige kirahisi, na yeye hataki kubweteka maana wamarekani anawajua in and out.

sasa hapa sijaelewa. yaani akishajaribu hilo bomu la nyuklia ndio linamwongezea ulinzi au ni nini?
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom