Trump adharau itifaki wakati akisalimiana na Malkia

Duh, kumbe.

Sasa wale wa Iringa wao ndio waliiga au walligwa huko kupiga goti.
 
Hiyo tradition ipo toka enzi na enzi kumsujudia mfalme/malkia au chief.

Niliwahi kuona kipindi Fredrick Chiluba akiiongoza Zambia akisalimiana na watu kwenye foleni huku wakimpigia magoti, hata wanaume.

Kwa dunia ya sasa ambapo wengi wamestaarabika, tabia kama hii ni utwana na imepitwa na wakati hivyo Trump yuko sahihi.
 
Utapata taabu sana na Trump
Maana hutenda akionacho yeye sawa hata wengine wapinge,kawaulize wale nchi zs msimamo mkali za kiislamu watakusimulia
 
Wingereza haiwezi kusimama bila marikani maandamano nikelele za chura tu......Ni nchi alisha wahi kuwa "workshop of the world" ikapolomoka vibaya, haina kibri tena lazma imsikilize Marikani to survive. Trump anajua hilo na anafanya makusudi...juzi mbele ya May waziri mkuu anamsfia mpizani wa May kwamba anaweza kua Waziri Mkuu nzuri sana ila May kakaa kimya tu kwasabb anajua wingereza inahitaji Marikani sana tena kwa wakati huu wa Brexite.....chakujifuza nikwamba wenzetu wanajua uwezo wao na nani wanamhitaji kwa wakati gani? Sio kujisifia kwamba wewe ni "donnar country" wakati hata huwezi kutoa maji safi na salama kwa badhi ya wana nchi wako.
Aisee...
 
Huwa simpendi huyu trump lakini hizo ishu za kupiga.magoti na kusujudu wafalme nadhanj zinawahusu waingereza wenyewe hata Mimi nisingefanya
 
Rais wa Marekani, Donald Trump amekiuka au kudharau ITIFAKI wakati wa makutano yake na Malkia Elizabeth.

Kwa utaratibu (japo siyo sheria au lazima), mtu anapokutana na kusalimiana na Malkia au mwanafamilia wa Kifalme, mwanaume anatakiwa kuinamisha kichwa kama ishara ya heshima, wakati mwanamke anatakiwa kupiga goti kidogo kwa maana ya ishara ya heshima. Yote hayo yamekiukwa na Trump badala yake amesalimiana na Malkia kwa kutikisa mkono.

Kuinama si kitu cha lazima, ila ni ishara ya heshima kwa tamaduni za kifamilia za kifalme nchini Uingereza.

chanzo: Trump defied royal protocol in meeting the Queen - twice
Malkia hana lolote. wamtoe tu. Hana faida zaidi ya kuendekeza utumwa tu.
 
Wingereza haiwezi kusimama bila marikani maandamano nikelele za chura tu......Ni nchi alisha wahi kuwa "workshop of the world" ikapolomoka vibaya, haina kibri tena lazma imsikilize Marikani to survive. Trump anajua hilo na anafanya makusudi...juzi mbele ya May waziri mkuu anamsfia mpizani wa May kwamba anaweza kua Waziri Mkuu nzuri sana ila May kakaa kimya tu kwasabb anajua wingereza inahitaji Marikani sana tena kwa wakati huu wa Brexite.....chakujifuza nikwamba wenzetu wanajua uwezo wao na nani wanamhitaji kwa wakati gani? Sio kujisifia kwamba wewe ni "donnar country" wakati hata huwezi kutoa maji safi na salama kwa badhi ya wana nchi wako.
Jiwe lingejua kuwa linauhitaji upinzani Tanzania ingekuwa na amani sana
 
Trump is realistic like baba jesca. Hapend unafki.
TRUMP yeye at least anajua ULIMWENGU hususani kwenye MASUALA YA BIASHARA na UCHUMI yanaendaje.

- Anawaambia VIJANA USA, JOBS JOBS JOBS JOBS !!!

- Huku kwetu JIWE anachojua ni KUJIBIZANA NA VIJANA BARABARANI WANAOMWOMBA NAULI "KALIME", Anakomba PESA ZOTE ametunza HAZINA, Anachota anavyojisikia ANAGAWA MABURUNGUTU BARABARANI.

- AJIRA KWAKE NDO KABISA HAELEWI HATA KWANINI AAJIRI VIJANA !
 
Boya wewe. Hivyo ni viashiria vya manyumbu
Nafikiri watanzania wote ni jamii ya nyumbu kama mtu anataka kupiga shangazi zenu mkamshangilia vichwani mpo timamu?

Mtu anakwambia anapambana na rushwa mmewahi kumuhoji mwenyekiti wa uvccm aliestaafishwa kwa rushwa kwa nini kesi yake ilifutwa wakati alikosa uongozi kwa ajili ya kashfa?

Unafaham kama kangi alikamatwa kwa kujaribu kuomba rushwa ktk utawala huu wa magufuli?
 
Back
Top Bottom