Trump: Achilieni mateka kabla sijaapishwa la sivyo mtabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ya Marekani!"

G Tank

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
2,297
8,725
thumb-1920-708187.jpg

Anaandika Trump kupitia mtandao wake wa kijamii wa "TRUTH"

watu wanaongelea mateka wanaoshikiliwa kikatili, kinyama, na kinyume cha matakwa ya Dunia nzima huko Mashariki ya Kati - Lakini ni maneno tu, hakuna vitendo! Natoa onyo kupitia mtandao huu (Truth) kwamba, Mateka wasipoachiwa kabla ya Januari 20, 2025 siku ninayoingia Ikulu ya Marekani, kutakuwa na GHARIKA KUBWA Mashariki ya Kati na kwa wale waliotekeleza ukatili huu dhidi ya ubinadamu. Wanaohusika watabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ndefu na iliyojaa matukio ya Marekani !. ACHILIENI MATEKA SASA!

Everybody is talking about the hostages who are being held so violently, inhumanely, and against the will of the entire World, in the Middle East - But it’s all talk, and no action! Please let this TRUTH serve to represent that if the hostages are not released prior to January 20, 2025, the date that | proudly assume Office as President of the United States, there will be ALL HELL TO PAY in the Middle East, and for those in charge who perpetrated these atrocities against Humanity. Those responsible will be hit harder than anybody has been hit in the long and storied History of the United States of America. RELEASE THE HOSTAGES NOW!





 
Foolish and stupid Trump. Arrest Netanyahu first if you are a man enough. Shame on you! You will come and go like the Bushes and others who tried and failed. Middle East solution is on the table but not by the barrel of gun.
Netanyahu hana kosa lolote ndio maana hata Ufaransa wamefuta maamuzi ya kumkamata.

Netanyahu ana kila haki ya kuilinda nchi yake dhidi ya washenzi walioua watu 1,200 kwa siku moja akiwemo Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel (apumzike kwa amani ), piga hesabu kwa mwaka mzima (siku 365) Israel ingekaa kimya wangeuliwa wangapi
 
Netanyahu hana kosa lolote ndio maana hata Ufaransa wamefuta maamuzi ya kumkamata.

Netanyahu anailinda nchi yake dhidi ya washenzi walioua watu 1,200 ndani ya siku moja wakiwemo watanzania wawili waliokwenda kujifunza kilimo, piga hesabu kwa miezi mitatu (siku 90) Israel ingekaa kimya wangekuwa wangapi
Sijui kama unajua unachosema. Israel ni kiini macho kilichotengenezwa na wazungu ili kuwatisha waarabu baada ya kugundua mafuta.

Eti wanasema Mungu aliwapa hiyo ardhii. Ina maana Mungu hakujua kuwa hii nchi ni ya Wapalestina?

Kama kweli Mungu aliumba dunia, inakuwaje asahau kuwa Palestina ni ya wapalestina na hivyo asinge'wapa' hawa majambazi?
 
Sijui kama unajua unachosema. Israel ni kiini macho kilichotengenezwa na wazungu ili kuwatisha waarabu baada ya kugundua mafuta. Eti wanasema Mungu aliwapa hiyo ardhii. Ina maana Mungu hakujua kuwa hii nchi ni ya Wapalestina? Kama kweli Mungu aliumba dunia, inakuwaje asahau kuwa Palestina ni ya wapalestina na hivyo asinge'wapa' hawa majambazi?
Watanzania bado tuna maumivu mabichi ya vijana wetu wawili kuuawa na Magaidi wa Hamas alafu wewe unakuja kuandika nini hiki ?

Hao wapalestina lengo lao ni moja tu, From the riber to the sea, Kuifuta Israel na kuua watu wote ndani yake (wakiwemo waarabu wenzao), Huu kama sio ushenzi ni nini ?
 
Watanzania bado tuna maumivu mabichi ya mwenzetu kuuawa na Magaidi wa Hamas kisa yumo ndani ya mipaka ya Israel alafu wewe unakuja kuandika nini hiki ??

Netanyahu na Trump wanayo support yote, Wapige kazi !!
Upuuzi mtupu. Huyo mwenzetu ana thamani kuliko wapalestina 43,000? Kwangu, ubinadamu ni ubinadamu hata kama wanaouawa wanaitwa magaidi, ni wabaguzi na wasiotujali sisi kama tunavyowajali. Kwangu hwa ni binadamu. Siyo waislamu 'wenzetu' au wapinzani wa yeyote. Watoto na akina mama wanaouawa bila makosa, kwa mtu mwenye akili timamu, wanafikirisha.
 
Upuuzi mtupu. Huyo mwenzetu ana thamani kuliko wapalestina 43,000? Kwangu, ubinadamu ni ubinadamu hata kama wanaouawa wanaitwa magaidi, ni wabaguzi na wasiotujali sisi kama tunavyowajali. Kwangu hwa ni binadamu. Siyo waislamu 'wenzetu' au wapinzani wa yeyote. Watoto na akina mama wanaouawa bila makosa, kwa mtu mwenye akili timamu, wanafikirisha.
Kwa zaidi ya mwaka, hao watu elf 40 (wakiwemo maelf ya magaidi) ni wachache sana kulinganisha na watu 1,200 waliouliwa siku moja (wangefika laki 4+ kwa mwaka), vifo vya raia wa Palestina ni kwasabababu Hamas wanawatumia kama ngao, hutumia silaha maeneno yenye raia wakijua kabisa Israel itajilinda kwa kuzilipua silaha hizo na kusababisha maafa kwa raia lakini wao wanakimbilia kujificha kwenye mahandaki.

Israel inajitahidi sana kupunguza maafa, mara kadhaa wanatoa taarifa lisaa kabla ya kulipua majengo yenye silaha au kambi, ndio maana huwa unaona camera zimeshategwa na watu kibao wapo nje ya jengo wakisubiri kuona linavyopigwa.
 
Kwa zaidi ya mwaka, hao watu elf 40 (wakiwemo maelf ya magaidi) ni wachache sana kulinganisha na watu 1,200 waliouliwa siku moja Israel, vifo vya raia wa Palestina ni kwasabababu Hamas wanawatumia kama ngao, hutumia silaha maeneno yenye raia wakijua kabisa Israel itajilinda kwa kuzilipua silaha hizo na kusababisha maafa kwa raia lakini wao wanakimbilia kujificha kwenye mahandaki.

Israel inajitahidi sana kupunguza maafa, mara kadhaa wanatoa taarifa lisaa kabla ya kulipua majengo yenye silaha au kambi, ndio maana huwa unaona camera zimeshategwa na watu kibao wapo nje ya jengo wakisubiri kuona linavyopigwa.
Fwalk you. You are a devil incarnate on earth if I may say so. Du! Kuna mijitu ina ukatili na upumbavu ambao hata ukiiua bado utahisi hujatenda haki.
 
Watanzania bado tuna maumivu mabichi ya vijana wetu wawili kuuawa na Magaidi wa Hamas alafu wewe unakuja kuandika nini hiki ?

Hao wapalestina lengo lao ni moja tu, From the riber to the sea, Kuifuta Israel na kuua watu wote ndani yake (wakiwemo waarabu wenzao), Huu kama sio ushenzi ni nini ?
NEnda shule katoe ujinga ndio ujadili mambo kama haya
 
Back
Top Bottom