shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,303
Huyu jamaa nouma sanaa
Wewe unataka eti AKIRI alisaidiwa na URUSI kushinda?! Tumia akili kidogo tu kufikiria..!Ila naamini huyu Jamaa, Congress na Senate watam-impeach tu, ni swala la muda.
Kitendo cha kutoamini au kutilia shaka taarifa za Ujasusi za vyombo vyako mwenyewe eti unaamini vyombo vya ujasusi vya Urusi ni kuidharirisha marekani.
Rekebisha rangi ya kutumia mkuu, hii kidogo inakuwa na poor invisibility Kwa macho