General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Rais wa marekani Donald Trump ameagiza kutonza bidhaa za china ya zaidi ya dola za kimarekani bilion 100. Hii itakuwa nyongeza nyingine baada ya siku chache zilizopita kuyonza US 50bn katika bidhaa 1300 za china.
Waziri wa biashara wa China amesema Cjina haita kubali kulipa gharama yoyote ili kulinda maslahi yake.
Trump threatens $100bn more China tariffs
Waziri wa biashara wa China amesema Cjina haita kubali kulipa gharama yoyote ili kulinda maslahi yake.
Trump threatens $100bn more China tariffs