Kilawakati
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 328
- 285
Mawazo Mazuri Bro.Good guys finish last.
Usiwalaumu wanawake, ujinga ulifanya wewe mwenyewe. Mtu kafukuzwa na mzazi wake kwa mimba isiyo yako, na alishakuletea dharau huko nyuma, halafu unampokea na kwenda kudanganya wazazi wako kwamba mimba ni yako !!!?
Bro hauna haja ya kuwachukia wanawake, jifunze tu kutokana na makosa yako. Next time ukiingia kwenye mahusiano usisite kuchukua maamuzi magumu au kumwonesha mwanamke kwamba unaweza kuchukua maamuzi magumu.
Wengine sisi hata kushirikishwa story kama hizo na ma-ex hakunaga.
Hujachelewa kujifunza.