Ramo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,819
- 1,816
Jamaa shobo tu...Mkuu unajuaje kama yeye ndio aliipost Facebook?
Jamaa shobo tu...Mkuu unajuaje kama yeye ndio aliipost Facebook?
Yaani mwanamke unaweza kumnunulia BMW X 6 lakini akaenda kutafunwa na muuza matunda kwasababu tu kamuongezea embe moja!!!Kweli kaka
Mnaonaga mkishahonga mmemaliza sio?Yaani mwanamke unaweza kumnunulia BMW X 6 lakini akaenda kutafunwa na muuza matunda kwasababu tu kamuongezea embe moja!!!
Ulifanya kama yule jamaa wa kimara aliyemfunia mkewe na rafiki yake kipenzi kitandani halafu wote hakuwauliza mpaka wakajistaki"Baada ya kumaliza chuo nilianza kupambana na maisha mtaani, kiukweli nilipitia maisha na nyakati ngumu sanaa.
Kuna rafiki yangu mmoja yeye ni dereva boda boda akawa ananipa boda boda yake jioni kuanzia saa 10 mpaka saa 4 au 5 usiku kama daywaka maana yeye alikuwa anakesha.
Siku moja mida ya jioni nilikutana na abiria mmoja akaniomba nimpeleke sehemu ilikuwa ni nyumba ya wageni (guest house).
Basi bhana nikamfikisha eneo husika akaniomba pia baadae nimrudishe kwake, akachukua namba zangu na kweli baadae mida ya tano kasoro kani-call na mimi nikaenda mpaka pale guest lakini akanambia kwanza mpeleke mgeni wangu kabla kwao hawajaanza kuleta noma.
Cha kushangaza aliyekuwa katoka mle ndani alikuwa ni DEMU wangu (girlfriend wangu). Aiseee niliishiwa nguvu na kwakuwa ilikuwa usiku hakunijua na hakutegemea kama ningekuwa pale hivyo alivyosogea alipigwa na butwaa mpaka hata yule jamaa akastuka lakini nikapiga moyo konde nikamwambia panda boda tusepe.
Kweli nikampeleka mpaka kwao na sikumsemesha wala kumuuliza chochote, nikawasha chombo nikarudi nikambeba na jamaa vile vile nikamrudisha kwake. Nikachukua hela yangu fresh.
Siku zikapita na mimi nikauchuna hakuna kumuuliza kitu wala nini kuhusu tukio lile, hata kila alipojitahidi kunichokonoa angalau nimuulize lakini nilichagua kukaa kimya na simtafuti wala nini, lakini akinitafuta naongea naye fresh tu kama hakuna jambo moyoni mwangu ila akiniuliza nasingizia sina SMS au salio la kumpigia.
Kumbe tukio lile lilikuwa linautesa sana moyo wake hasa alikuwa na shauku ya kutaka kujua nawaza nini kichwani mwangu kuhusu yeye, alikuwa anawaza nina mipango gani yeye? mbona simuulizi kitu?.
Baadae walishauriana na rafiki yake wakaenda kutoa report police kuwa natishia kumfanya kitu kibaya, na huyo rafiki yake akawa ndio kama shahidi. Nilivyoitwa police nikawaeleza tu hali halisi, police walicheka sana ila tu wakamshauri kuwa akae mbali na mimi.
Kuanzia hapo mpaka leo hajanitafuta na mimi tangu siku ya tukio lile, nilifuta namba yake kabisa.
Kuanzia pale nikaanza kuona ile kazi imekuwa ni changamoto kwangu sikuendelea nayo tenaaa".
Kwakweli hebu tuandikie review maana hamweleweki tupe muhtasariMnaonaga mkishahonga mmemaliza sio?
Kuna mengi ndani ya mahusiano ukiachana na kupeana tip
Sio yeye nae kacopy tu ila kaamua kuhadaa wanaume hapa hii stori ni ya mda sana huko niliiona pia na Leo nimeiona kama alikuwa yy kwann hakuileta hapa jukwaani tangu zamani na kama mnavyojua JF ndio huibua stori kisha kwenda mitandaoni maana FB most of users are anonymous so there comfortable to express something than FB were most of people have real user name na post ilikuwa kwenye page flan ivi ambayo ni ya story kama hizi,Mkuu unajuaje kama yeye ndio aliipost Facebook?
😝😝😝 nitarudiKwakweli hebu tuandikie review maana hamweleweki tupe muhtasari
Ebu weka picha ya huyo demu. Huenda ndohuyu nilienae namkaza mda huu hapa royal court hotel sinza