dada white
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 1,228
- 514
Nilimpenda sana ila umaskini uliokithiri unaniaribia roho ya kuendelea kumpenda nifanyaje siku na umri unazidi kuenda sioni nafuu yoyote.Hadi uzuri na weupe wangu umeanza kuFADE AWAY.Nachanganyikiwa jamani moyo wangu unaishiwa nguvu kadri ya siku zinavyozidi kwenda.