Trip Advisor-Dar to Nairobi

Analyse

JF-Expert Member
Jan 19, 2014
15,569
38,276
Habari za wakati huu wadau. By jumanne ya tarehe 02/05/2017 natakiwa niwe Nairobi.

Sijawahi fanya safari za upande huo. Nilikuwa naomba maelezo ya jinsi gani naweza kusafiri hadi kufika kule. Estimation ya gharama n.k

Usafiri nnaotarajia kutumia ni bus.

Am counting on you JF members.
 
Basi zuri ni Tahmeed,nauli sina hakika lakini haizidi 100k,uwe na Passport ya karatasi au kitabu kama hutokaa muda mrefu,kitambulisho cha Mpiga kura au cha Uraia,sina hakika kuhusu kadi ya manjano, mi huwa napita na passport ya karatasi ile ya miezi 3.

Uwe na kama 200,000 hivi au 500,000 kwenda na kurudi bila gharama za malazi na chakula utakapokuwa Nairobi.

Ila Nairobi haina tofauti kubwa na Dsm,Zaidi ya mabadiliko ya Pesa.
 
Basi zuri ni Tahmeed,nauli sina hakika lakini haizidi 100k,uwe na Passport ya karatasi au kitabu kama hutokaa muda mrefu,kitambulisho cha Mpiga kura au cha Uraia,sina hakika kuhusu kadi ya manjano, mi huwa napita na passport ya karatasi ile ya miezi 3.

Uwe na kama 200,000 hivi au 500,000 kwenda na kurudi bila gharama za malazi na chakula utakapokuwa Nairobi.

Ila Nairobi haina tofauti kubwa na Dsm,Zaidi ya mabadiliko ya Pesa.
Nashkuru kwa ufafanuzi wako mkuu. Mimi nina passport ile ya kawaida ya kijani,nayo siinafaa??

Alafu hapo kwenye matumizi,kama ww ni mzoefu kidogo basi naomba unipe walau makadilio kulingana na mtazamo wako. Maana kule sitokaa sana,issue yangu inaisha tarehe 3 jioni. So tarehe 4 ntakuwa safarini kurudi Dar.
 
Kwa Upande wa Kutokea DSM sijui, Ila cha Muhimu kuwa na Passport na Kadi ya Yellow Fever ...Ukiringanisha na Dar Gharama za Maisha ziko juu Nairobi...
 
Nashkuru kwa ufafanuzi wako mkuu. Mimi nina passport ile ya kawaida ya kijani,nayo siinafaa??

Alafu hapo kwenye matumizi,kama ww ni mzoefu kidogo basi naomba unipe walau makadilio kulingana na mtazamo wako. Maana kule sitokaa sana,issue yangu inaisha tarehe 3 jioni. So tarehe 4 ntakuwa safarini kurudi Dar.
Matumizi inategemea utakuwa na Status yako lakin bei ya Chini ya Chai na Chapoo(Chapati) kwa mamantilie wa kule ni 60Ksh ambayo ni kama 1200 Tsh....
Make sure unabadilisha ela zako kabla ya kufika boarder kwa sababu Boarder kuna Matapeli wanaweza kukutapeli....
 
Kwa Upande wa Kutokea DSM sijui, Ila cha Muhimu kuwa na Passport na Kadi ya Yellow Fever ...Ukiringanisha na Dar Gharama za Maisha ziko juu Nairobi...
Ww unajua kutokea wapi? Kadi ya Yellow fever nnayo pia.
 
Matumizi inategemea utakuwa na Status yako lakin bei ya Chini ya Chai na Chapoo(Chapati) kwa mamantilie wa kule ni 60Ksh ambayo ni kama 1200 Tsh....
Make sure unabadilisha ela zako kabla ya kufika boarder kwa sababu Boarder kuna Matapeli wanaweza kukutapeli....
Status yangu ni ya kawaida tu sio matawi. Ila matumizi nnayoyazungumzia ni mfano sehem za kufikia(kulala).
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom