Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,451
Wanabodi
Hili ni Jukwaa la Siasa na hili sio bandiko la Pole kwa kifo cha Ruge Mutahaba, bali hii ni Tribute ya mchango wa Ruge Mutahaba kwenye mapinduzi ya siasa za Tanzania, hivyo japo hakushiriki active politics alikuwa passive politician, mimi namuita Ruge Mutahaba as one of the smartest Strategists silent politician in Tanzania.
Kwenye uzi huu, tunaangazia na kuenzi mchango wa Ruge Mutahaba kwenye Siasa za Tanzania mimi nikimtambulisha kama "A Smartest , Strategists Silent Politician in Tanzania Aliyebadili Siasa za Tanzania", aliyefanya siasa za ukweli za mipango mkakati, Strategies, kwenye backstage na sio siasa open za majukwaani, ambazo sometimes sio siasa za kweli bali ni propaganda tuu zenye uongo mwingi. Ruge was always mkweli.
Ni Ruge ndie aliye introduce Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo movies na kundi la the Comedy kwenye kampeni za kisiasa kwenye kampeni za Kikwete 2005.
This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.
Usikute hiki alichokifanya Ruge, ndicho kilichowafanya watu Kama Sugu, Prof.Jay na Wasanii kuingia kwenye active politics.
Hili sio bandiko la maombolezo but let's celebrate his life na mchango wake kwenye Siasa za Tanzania.
Hizi ni baadhi ya Tribute za Ruge Mutahaba kutoka kwa wanasiasa mbalimbali
Kwa maoni yangu, kama ile premises ya Clouds ilipo ni owned by Clouds na sio rented, then napendekeza azikwe pale pale nje ya Clouds pale mahali anapopark gari yake. This will be the best tribute ever Kama alivyofanyiwa Prof. Hubert Kairuki wa Mikocheni Hospital, amezikwa pale mbele ya Mikocheni Hospital.
Jee wewe unam tribute Ruge Mutahaba kwa lipi katika siasa za Tanzania?.
Ruge ni Wetu Sote
Ruge ni wa Taifa, hivyo huu ni msiba wa Taifa.
RIP, Rafiki, Mshirika, Mpambanaji na Mwana Habari Mwenzangu
Bosi Ruge Mutahaba
Paskali
Hili ni Jukwaa la Siasa na hili sio bandiko la Pole kwa kifo cha Ruge Mutahaba, bali hii ni Tribute ya mchango wa Ruge Mutahaba kwenye mapinduzi ya siasa za Tanzania, hivyo japo hakushiriki active politics alikuwa passive politician, mimi namuita Ruge Mutahaba as one of the smartest Strategists silent politician in Tanzania.
Kwenye uzi huu, tunaangazia na kuenzi mchango wa Ruge Mutahaba kwenye Siasa za Tanzania mimi nikimtambulisha kama "A Smartest , Strategists Silent Politician in Tanzania Aliyebadili Siasa za Tanzania", aliyefanya siasa za ukweli za mipango mkakati, Strategies, kwenye backstage na sio siasa open za majukwaani, ambazo sometimes sio siasa za kweli bali ni propaganda tuu zenye uongo mwingi. Ruge was always mkweli.
Ni Ruge ndie aliye introduce Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo movies na kundi la the Comedy kwenye kampeni za kisiasa kwenye kampeni za Kikwete 2005.
This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.
Usikute hiki alichokifanya Ruge, ndicho kilichowafanya watu Kama Sugu, Prof.Jay na Wasanii kuingia kwenye active politics.
Hili sio bandiko la maombolezo but let's celebrate his life na mchango wake kwenye Siasa za Tanzania.
Hizi ni baadhi ya Tribute za Ruge Mutahaba kutoka kwa wanasiasa mbalimbali
Kwa maoni yangu, kama ile premises ya Clouds ilipo ni owned by Clouds na sio rented, then napendekeza azikwe pale pale nje ya Clouds pale mahali anapopark gari yake. This will be the best tribute ever Kama alivyofanyiwa Prof. Hubert Kairuki wa Mikocheni Hospital, amezikwa pale mbele ya Mikocheni Hospital.
Jee wewe unam tribute Ruge Mutahaba kwa lipi katika siasa za Tanzania?.
Ruge ni Wetu Sote
Ruge ni wa Taifa, hivyo huu ni msiba wa Taifa.
RIP, Rafiki, Mshirika, Mpambanaji na Mwana Habari Mwenzangu
Bosi Ruge Mutahaba
Paskali