Tribute to Dar Internationa "Super Bomboka"

Ibrah

JF-Expert Member
Mar 22, 2007
2,729
528
Leo nimeona niwakumbushe wale wakongwe wenzangu wa enzi za miaka ya 1980 ambapo kulikuwa na Bendi iliyojulikana kama DAR INTERNATIONAL aka Super Bomboka ambayo iliongoza na Marijani Shaaban.

Hii bendi ndio bendi iliyoongoza kwa nyimbo zilizoenda shule (ujumbe mzito) ambapo hata zikipigwa leo utadhani ni mpya. Nyiimbo nyingne zilikuwa ni ivsa vya ukweli kabisa vilivyomkuta Marijani; nyimbo zilizokuwa visa vya kweli ni; Kaka Mashaka (Mwajuma) na Masudi. Huyo Mashaka, Marijani alimwimba baada ya kuwa amehamia Super matimila kwa Dr Remmy, huyo Mwajuma alikuwa mke wa mashaka na tulikaa naye maeneo ya Mburahati kwa Jongo. Dada alikuwa anampeleka puta Mashaka kikweli.

Wimbo wa Masudi amekuwa jambazai, pia ni kisa cha kweli maana huyo kijana Masudi alimtaimu Marijani wakati akipiga muziki kwenye ukumbi mmoja kule Luhanga (Kigogo) na kumnyang'anya saa. Marijani akaamua kumweka hewani.

Baadhi ya wapigaji wa Dar International wakati huo ni ;Marijani Rajab na Freshi Jumbe. Wadau,
Tukumbushane nyimbo zenye akili za Dar Interantional Super Bomboka.
 
Leo nimeona niwakumbushe wale wakongwe wenzangu wa enzi za miaka ya 1980 ambapo kulikuwa na Bendi iliyojulikana kama DAR INTERNATIONAL aka Super Bomboka ambayo iliongoza na Marijani Shaaban.

Hii bendi ndio bendi iliyoongoza kwa nyimbo zilizoenda shule (ujumbe mzito) ambapo hata zikipigwa leo utadhani ni mpya. Nyiimbo nyingne zilikuwa ni ivsa vya ukweli kabisa vilivyomkuta Marijani; nyimbo zilizokuwa visa vya kweli ni; Kaka Mashaka (Mwajuma) na Masudi. Huyo Mashaka, Marijani alimwimba baada ya kuwa amehamia Super matimila kwa Dr Remmy, huyo Mwajuma alikuwa mke wa mashaka na tulikaa naye maeneo ya Mburahati kwa Jongo. Dada alikuwa anampeleka puta Mashaka kikweli.

Wimbo wa Masudi amekuwa jambazai, pia ni kisa cha kweli maana huyo kijana Masudi alimtaimu Marijani wakati akipiga muziki kwenye ukumbi mmoja kule Luhanga (Kigogo) na kumnyang'anya saa. Marijani akaamua kumweka hewani.

Baadhi ya wapigaji wa Dar International wakati huo ni ;Marijani Rajab na Freshi Jumbe. Wadau,
Tukumbushane nyimbo zenye akili za Dar Interantional Super Bomboka.

Du!
Mkuu umenikumbusha majonzi. Nilisikitika sana huyu mwanamuziki alipokwenda mbele ya haki.

Nyimbo zake nyingi zilienda shule kama ulivyosema hapo juu.
Nazikumbuka:
1.Wosia
2.Zuena
3.Asia
4.Mwanameka
5.Mama maria (sina uhakika, kulikuwa na maneno "nani kaenda kwa mama maria, na kuzusha maneno ya uongo, ilikuwa saa tatu za usiku..., Hao, ndio wenye kukaanga mbuyu, kuwaachia wenye meno watafune....I'm not sure for this. Ni long time).
 
JF kulikuwa na zilipendwa wakazitoa jamani MODS rudisheni basi zile nyimboo plse!!!
 
Sikitiko,wimbo huu ni very revolutionary kuhusu ukombozi wa Africa....Hata "king" Michael Enock mpiga sax maarufu alikuwa dar international.
 
Leo nimeona niwakumbushe wale wakongwe wenzangu wa enzi za miaka ya 1980 ambapo kulikuwa na Bendi iliyojulikana kama DAR INTERNATIONAL aka Super Bomboka ambayo iliongoza na Marijani Shaaban.

Hii bendi ndio bendi iliyoongoza kwa nyimbo zilizoenda shule (ujumbe mzito) ambapo hata zikipigwa leo utadhani ni mpya. Nyiimbo nyingne zilikuwa ni ivsa vya ukweli kabisa vilivyomkuta Marijani; nyimbo zilizokuwa visa vya kweli ni; Kaka Mashaka (Mwajuma) na Masudi. Huyo Mashaka, Marijani alimwimba baada ya kuwa amehamia Super matimila kwa Dr Remmy, huyo Mwajuma alikuwa mke wa mashaka na tulikaa naye maeneo ya Mburahati kwa Jongo. Dada alikuwa anampeleka puta Mashaka kikweli.

Wimbo wa Masudi amekuwa jambazai, pia ni kisa cha kweli maana huyo kijana Masudi alimtaimu Marijani wakati akipiga muziki kwenye ukumbi mmoja kule Luhanga (Kigogo) na kumnyang'anya saa. Marijani akaamua kumweka hewani.

Baadhi ya wapigaji wa Dar International wakati huo ni ;Marijani Rajab na Freshi Jumbe. Wadau,
Tukumbushane nyimbo zenye akili za Dar Interantional Super Bomboka.

hapo penye nyekundu ni Marijan Rajab aka Jabali la muziki. Marijan Shaban alikuwa refa
 
Mpenzi Aisha.

Mpenzi Aisha, mpenzi aisha, mpenzi nauliza lini utarudi? bado nakusubiri, uliniahidi tutaonana Darisalama, imekuwa mwaka sijakuona.
 
Du!
Mkuu umenikumbusha majonzi. Nilisikitika sana huyu mwanamuziki alipokwenda mbele ya haki.

Nyimbo zake nyingi zilienda shule kama ulivyosema hapo juu.
Nazikumbuka:
1.Wosia
2.Zuena
3.Asia
4.Mwanameka
5.Mama maria (sina uhakika, kulikuwa na maneno "nani kaenda kwa mama maria, na kuzusha maneno ya uongo, ilikuwa saa tatu za usiku..., Hao, ndio wenye kukaanga mbuyu, kuwaachia wenye meno watafune....I'm not sure for this. Ni long time).

Hapo kwenye nyekundu ni Usia.
 
Siku ulipoondoka uliniacha nalia na majonzi, umekwenda kuishi mbali nami Georgina wamama.

Georgina georgina umeniachia masikitiko, georgina wamama.
 
Du!
Mkuu umenikumbusha majonzi. Nilisikitika sana huyu mwanamuziki alipokwenda mbele ya haki.

Nyimbo zake nyingi zilienda shule kama ulivyosema hapo juu.
Nazikumbuka:
1.Wosia
2.Zuena
3.Asia
4.Mwanameka
5.Mama maria (sina uhakika, kulikuwa na maneno "nani kaenda kwa mama maria, na kuzusha maneno ya uongo, ilikuwa saa tatu za usiku..., Hao, ndio wenye kukaanga mbuyu, kuwaachia wenye meno watafune....I'm not sure for this. Ni long time).

Nilishangaa sana nilipoingia kwenye paper ya National ya Kiswahili ya F4 mwaka 1991 na kuukuta wimbo wa Mwanameka! Ilie paper ilinigonga sana niliondoka na D.
 
Nilishangaa sana nilipoingia kwenye paper ya National ya Kiswahili ya F4 mwaka 1991 na kuukuta wimbo wa Mwanameka! Ilie paper ilinigonga sana niliondoka na D.

Mkuu ulishindwa kujua maana ya "Hakuliki wala hakukaliki" nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom