Treni za umeme na reli za juu kwa juu Dar es salaam..Shuka nayo

Nina uhakika wa 99.99% mradi haujengwi katika miaka 50 ijayo....Labda tumpe miaka 100 huyo mwakyembe wa 2114 aje kujenga.

Mkuu King Kong III huu mradi haujengwi kwa pesa yetu, wawekezaji wanakuja kujenga, na ku na ku run hiyo train kwa muda furani kurudisha gharama zao, baada ya hapo wanarudisha mradi serikalini, kama walivyokuja Wale wachina wakaweka vijana wamevaa reflector kuanzia Mwenge mpaka Surrender bridge, wakihesabu magari yanayopita kwa siku, baada ya uchunguzi wakataka kujenga barabara ya kuu kutoka Mwenge mpaka town kwa pesa yao, kisha kila gari ndogo ilipe 1000 kutumia njia hiyo na makubwa 5000 kwa miaka mitano, baada ya kurudisha pesa yao wakabidhi kwa serikali, ila serikali ikagoma ile kampuni ilikuwa na uzoefu mdogo, pengine hiyo frying over ingeharibika baada ya hiyo miaka 5 tu.
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kuna tofauti kubwa sana kati yenu na sisi.wakati nyinyi wakenya mmezoeshwa kushabikia kauli za miradi hewa toka kwa wanasiasa via social medias,sisi kwa upande mwingine tunashabikia vitu ambavyo viko tayari na vinaonekana ktk hali halisi.ndio mana hukuti tunajigamba hovyo kwenye mitandao ingawa kuna mikataba na miradi mingi ya ujenzi inaendelea.

dreaming achievable projects not some nightmares in tz

_71399901_railway.jpg


railway-line-inside.jpg


standard gauge rail due to start construction

syokimau-railway-station-kenya.jpg
e
RVR190414.jpg
xisting rail

Engineers at Mombasa port load a high capacity railway track ballast tamper and ballast profiler machines imported by Rift Valley Railways.​
_64119922_insidetrain.jpg
 
Huyo mwakyembe hana lolote uchaguz tu huo 2015 unawasumbua Mashirka ya reli haya tuliyonayo yanawashnda wataweza train za umeme?
 
Huu mradi nao uko kwenye moja ya ahadi za fast jet au ndo ufisadi mwngne
 
dreaming achievable projects not some nightmares in tz

_71399901_railway.jpg


railway-line-inside.jpg


standard gauge rail due to start construction

syokimau-railway-station-kenya.jpg
e
RVR190414.jpg
xisting rail

Engineers at Mombasa port load a high capacity railway track ballast tamper and ballast profiler machines imported by Rift Valley Railways.​
_64119922_insidetrain.jpg

huna jipya we mkamba.
CC Geza Ulole
 
Last edited by a moderator:
this gavumenti bwana..imeshindwa kutoa madawati kwa wanafunzi na huduma muhimu inawaza na kutuhadaa tren za juu? barabara za chin madimbwi kuziba kazi..hizo ni hadaa za kujipatia kura 2015. hatudanganyiki.....mxxxiiuuuu
 
Kwa rasilimali tulizonazo laiti viongozi wetu wangekuwa na uzalendo kama Kagame miaka kumi tu nchi inabadilika kuwa kama ulaya. Production ya dhahabu ya Bulyanhulu mwezi mmoja inaweza kujenga maghorofa yote ya DODOMA, sasa tuna migodi mingapi, Uranium ndo kibao,
Acha story za vijiweni wewe!mbona hiyo Rwanda yenyewe ka nchi kadogo tu chini ya Kagame na hakajawa Ulaya?
Za kuambiwa changanya na zako-JK President United Republic of Tanzania.
 
Acha story za vijiweni wewe!mbona hiyo Rwanda yenyewe ka nchi kadogo tu chini ya Kagame na hakajawa Ulaya?
Za kuambiwa changanya na zako-JK President United Republic of Tanzania.

michepuko sio dili, ke au me? tafazali.
 
Kwenye hili naomba niwe nina kichwa kigumu kuelewa (May be nahitaji mafunzo kwa vitendo zaidi).
Hivi miradi mikubwa kama hii, akina nani hua wanakaa kutoa/kuweka vipaumbele?, Naoka kama vile tuna stahili kuandamana kwenye hili na kusema "wananchi/wadau hatukushirikishwa kwenye kufanya maamuzi". Miaka michache iliyopita mlituahidi vipita juu "fly overs" kwenye baadha ya barabara kuu za jiji la Dar es Salaam kwa lengo hilohilo la kupunguza foleni, na baadae uka anza ujenzi wa DART kabla hata ya ujenzi kukamilika na matunda yake kuyaona, leo mme tuletea ahadi nyingine ya Treni za umeme (wakati ile ahadi yetu ya kusahau mgao wa umeme bado haija timia). Mi nafikiri nguvu ziwekezwe kwenye michepuko kama ya Akachube (Kijitonyama), Barabara ya Igesa (Sinza), chuo kikuu kuelekea kimara, tabata huko nk. Vilevile kujenga barabara zenye ubora hata kama ni mchepuko (kuna barabara ya Tandale Kwa Tumbo kuelekea Manzese kupitia soko la Tandale, kabla haijafunguliwa rasmi isha anza kubomoka). Swala pia la kuondoa msongamano wa huduma katikati ya mji lipewe kipaumbele na mwisho hizo pesa za treni ya umeme tuwekezeni kwenye "standard gauge" tuwahudumie watanzania wengi zaidi.
 
huna jipya we mkamba.
CC Geza Ulole

look at this illiterate tribal king from tanzania.so empty upstairs.if you dont have anything to share on JF can you please take your ignorance and uncouth behavior to your local boys.you will be worshiped there not on JF where people are civil, respect others contribution and are civilized.
 
Back
Top Bottom