Kibo10 JF-Expert Member Aug 20, 2013 11,277 8,840 Dec 22, 2013 #1 Treni ya mizigo yaacha njia yake na kuparamia makazi ya watu huko Kibera, Nairobi asubuhi hii, idadi ya majeruhi na vifo haijafahamika.
Treni ya mizigo yaacha njia yake na kuparamia makazi ya watu huko Kibera, Nairobi asubuhi hii, idadi ya majeruhi na vifo haijafahamika.
Lukansola JF-Expert Member Sep 5, 2010 5,435 1,597 Dec 22, 2013 #2 hiyo Nairobi ilipaswa kuwa included kwenye headline ya habari yako. Sawa?