Treni ya Standard Gauge imekosewa kukwepa kaskazini

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,605
8,744
Watanzania ni lazima tukubali tunapokosea. Hii treni ya Standard Gauge ni ya mizigo na abiria. Kitu cha kushangaza sehemu ambayo inakua kiuchumi sana na ambayo ingeingizia shirika pesa nyingi sana ni Dodoma-Arusha-Kilimanjaro.

Kwanza kuna watalii zaidi ya milioni mbili hata kama watalii laki tano tu wangetumia ingekuwa poa, pili hii treni ingeweza kubeba wine za Dodoma, vitunguu na maharage ya Manyara, nyama ya Monduli na kupeleka Arusha ili ziende kwenye soko kubwa la Kenya.

Lakini vilevile kuna biashara nyingi sana hapo katikati kuna airport mbili na ni sehemu itaendelea kukua sana. Naona sasa treni ndiyo wameanza kushtuka cha ajabu hii treni ya zamani inaweza ikawa inabeba watu kuliko Standard Gauge.

Kama tunataka hii treni mpya ijilipe ni lazima kuwekwe line maana bila hivyo itategemea mizigo na watu wachache. Bila kubagua huwezi kulinganisha kiuchumi Kigoma, Tabora na Kilimanjaro na Arusha. Tusije kushangaa kenya wakaweka treni yao mpaka Tanzania wakijua kwamba italipa.
 
tumieni kwanza hiyo narrow gauge

Sent using Jamii Forums mobile app

Utaniambia pesa ya treni haitatudi. Kuna mawili hapa kwanza wanaweza kukuza barabara ya lami ya Dodoma Arusha ili wa Arusha watumie treni au waweke line bila hivyo ni swamb la bibi hapa watategemea pesa za watalii hao hao kuendesha treni!😂

ujue pato la watalii kwa sasa wa kaskazini mpaka Serengeti ni $2B kwa mwaka na inapanda
 
Fikria Kwanza bandari ya dsm ndo inayoingiza mpunga mrefu Zaid alafu piga mahesabu hyo mizigo ya bandarini asilimia kubwa inaelekezwa wap....

Pia jifkrie Kwa nn treni ya kaskazin ilikufa more than 25 yrs , lakn ya kati imeendelea kupiga kazi??

Ukweli ni kuwa kaskazin ni route ya msimu , hata hao watalii ni wa msimu ,
Mtu anyetoka Mwanza , kigoma na ukanda huo anatumia Zaid ya masaa 15 mpak 25 kufika Dodoma au Dare es salaam, ukitoa risk iliyopo pia ni wastage of time , ....

Alaf piga mahesabu ya nchi za Congo , Rwanda , Burundi na Uganda ambazo ndo main target Kwa ajili ya mizigo.......

Reli ya Kati ni phase 1, phase 2 yaweza kuwa kaskazin or tazara ....
 
Fikria Kwanza bandari ya dsm ndo inayoingiza mpunga mrefu Zaid alafu piga mahesabu hyo mizigo ya bandarini asilimia kubwa inaelekezwa wap....

Pia jifkrie Kwa nn treni ya kaskazin ilikufa more than 25 yrs , lakn ya kati imeendelea kupiga kazi??

Ukweli ni kuwa kaskazin ni route ya msimu , hata hao watalii ni wa msimu ,
Mtu anyetoka Mwanza , kigoma na ukanda huo anatumia Zaid ya masaa 15 mpak 25 kufika Dodoma au Dare es salaam, ukitoa risk iliyopo pia ni wastage of time , ....

Alaf piga mahesabu ya nchi za Congo , Rwanda , Burundi na Uganda ambazo ndo main target Kwa ajili ya mizigo.......

Reli ya Kati ni phase 1, phase 2 yaweza kuwa kaskazin or tazara ....
treni kaskazini ilikufa kwa sababu za miundombinu mvua ilivunja madaraja na kukata reli pili ujio wa mabasi ya kisasa we mwenyewe unajua arusha dar barabara nzury ipo kitambo mnoo na ruti nyingi nzury za mabasi zipo huko kwa io zilipoanza ruti za mabasi mazury watu walikacha treni 90s uko ila pia mkuu effect za kutokuwapo kwa tren n import nyingi za arusha zinaingilia kutokea nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna njia mpya ya sgr ya dar arusha musoma wataanza kujenga mwakani kutokea arusha to musoma nazani kwa io apo kote heri japo treni ingeunganisha dodoma na arusha ingekuwa kiungo kizury cha uchumi maana dar arusha mwanza na dodoma ambayo n miji mikuu ingekuwa iko connected na fast railway

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania ni lazima tukubali tunapokosea. Hii treni ya Standard Gauge ni ya mizigo na abiria. Kitu cha kushangaza sehemu ambayo inakua kiuchumi sana na ambayo ingeingizia shirika pesa nyingi sana ni Dodoma-Arusha-Kilimanjaro.

Kwanza kuna watalii zaidi ya milioni mbili hata kama watalii laki tano tu wangetumia ingekuwa poa, pili hii treni ingeweza kubeba wine za Dodoma, vitunguu na maharage ya Manyara, nyama ya Monduli na kupeleka Arusha ili ziende kwenye soko kubwa la Kenya.

Lakini vilevile kuna biashara nyingi sana hapo katikati kuna airport mbili na ni sehemu itaendelea kukua sana. Naona sasa treni ndiyo wameanza kushtuka cha ajabu hii treni ya zamani inaweza ikawa inabeba watu kuliko Standard Gauge.

Kama tunataka hii treni mpya ijilipe ni lazima kuwekwe line maana bila hivyo itategemea mizigo na watu wachache. Bila kubagua huwezi kulinganisha kiuchumi Kigoma, Tabora na Kilimanjaro na Arusha. Tusije kushangaa kenya wakaweka treni yao mpaka Tanzania wakijua kwamba italipa.

Ni kweli SGR ingeanzia Dodoma au hata Morogoro kwenda Arusha na Kilimanjaro ili kukuza tourism industry
 
Back
Top Bottom