Kuna waziri wa uchukuzi mh Mwakyembe alisema train itaanza tarehe 10/9/12. Kwa walio karibu na hayo maeneo ya ubungo maziwa au buguruni,vipi train hiyo imeanza?
Ok,labda nilisikia vibaya inaweza kuwa labda alisema mwezi wa kumi.Ngoja tusubiri
Basi labda nilisikia vibaya inaweza kuwa alisema mwezi wa kumi.
Basi labda nilisikia vibaya inaweza kuwa alisema mwezi wa kumi.