Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Siku chache baada ya treni hii Marufu ya Dokta Mwakembe kufunguliwa, takribani siku ya tatu sasa Kizuizi cha magari makatisho ya barabara ya Mandela kimevunjika ghafla na kuacha maswali mengi. Pengine uhafifu wa chuma yake kushindwa kumudu uzito vs. urefu??. Au ni cha Mabua, hujuma? Makandarasi wa Bongo wamechakachua tena? Karabatini kabla ya ajali. Long Live Dr.